Meninah afunga ndoa tena

Huyu aliemuoa sasa ndo chanzo cha ndoa ya kwanza kuvunjika
 
menina ila kajitahid sana kushndwa kuvumiliaa
 
Huyo mtoto waziri muongo sio wake wa kumzaa alimuadopt tu kibinadamu aliamua kumlea na kumfanya km mwanae tangu utotoni ndo mana mwaona anatumia jina la haule
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ndoa hiyo ishaota mbawa . Bwana alivyopigwa chin kwenye ile taasis ya kifedha alipokuwa anafanya kazi (baada ya taasis hiyo kufilisika)
[emoji23]aisee nilihisi tu...bongo movie bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…