National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
πππ Dada yangu nipo nimejaaa najiandaa kwenda kanisani, alafu nikitoka kanisani kijiweni na wana tukale kahawa tuu.. Ukaribie tuuMie nimekumiss buana maswala ya kulala njaa yametoka wap kaka mkubwa
Hapana, jirani, kwa nini tuwaogope wakati wapo kwa ajili ya kutulinda sisi, siku moja moja unawapitia unawapa lunch wote wanakuzoea kwa uzuri...Yaani ushapelekwa huko sana hadi umeunda na urafiki nao, jirani i can't you.
Na mimi uwe unaniletea lunch nikuzoee kwa uzuri nikufungulie pm jiraniHapana, jirani, kwa nini tuwaogope wakati wapo kwa ajili ya kutulinda sisi, siku moja moja unawapitia unawapa lunch wote wanakuzoea kwa uzuri...
Nipe direction pm...Na mimi uwe unaniletea lunch nikuzoee kwa uzuri nikufungulie pm jirani
Sioni umeandika nini, ngoja ninywe maji kwanzaNipe direction pm...
Aya my wangu ebu njoo tupig3 quicky hapa kimoja cha fasta kabla sijaanza kuwaangalia senegalNational Anthem kaka yangu bana
Afu mimi na wew ndio mtu na my wake
National Anthem πDarlin ππ
π₯°π₯°π₯°π₯°
Wamesema kwamba mnawaomba hela [emoji23]Tusio na mademu tumatengwa sana jf
Sio kwa mahaba hayaπ₯°π₯°π₯°π₯°
Usikute ccm kuna mahal inahusikaWamesema kwamba mnawaomba hela [emoji23]
Jirani tafuta vitu vikavu achana na vitu vyenye mafuta mafuta...Jirani nimeamka, niko mtaani natafuta vitumbua nikanywe chai.
Ulipotea jirani, nani alikuficha
Nataka ninenepe jiraniJirani tafuta vitu vikavu achana na vitu vyenye mafuta mafuta...
Jirani embu niona sasa hivi upo vipi?Nataka ninenepe jirani