Mention someone without any reason just to disturb them

Hatareee [emoji23][emoji23] ( Kwa sauti ya Chidy Benzy)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana chezea kitu haina mfupa, ila inasimama dedeee, tena ngingingi.

Woiiiiiih
 

Kochoz crew ndo wamemuharibu? [emoji23]
Unamsingizia sio kweli
 
Kochoz crew ndo wamemuharibu? [emoji23]
Unamsingizia sio kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mie nimesema nn? Usinilishe maneno.
But JF ni zaidi ya uijuavyo au uiaminivyo.
 
Sasa sisi tutaenda km ndugu wa kiumeni au kiumeni 2 [emoji23]
Hapo sijaelewa dada Farida
Nitaenda km bi mkubwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km Ex sitakiii, nataka status ya bi mkubwa.
 
Nitaenda km bi mkubwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km Ex sitakiii, nataka status ya bi mkubwa.

[emoji23][emoji119]
Jamani hii imeenda
Bi mkubwa km bi mkubwa
Unaingia na benbat la nani?
Km nawaona machura wanavyokufagilia njia mama la mama!!
Mama mwenye mume wake halali! [emoji23]
 
[emoji23][emoji119]
Jamani hii imeenda
Bi mkubwa km bi mkubwa
Unaingia na benbat la nani?
Km nawaona machura wanavyokufagilia njia mama la mama!!
Mama mwenye mume wake halali! [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halali bila ndoa? Ila uchungu jamani!!
Sa itakuajee??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halali bila ndoa? Ila uchungu jamani!!
Sa itakuajee??

Inauma kumbe? Mi nilijua we sugu[emoji1787][emoji1787]
Mume anauma sana, alafu akuache ghafla kwa kuporwa [emoji1787]

Kunywa maji mengi!!
Ila ukewenza unao na umekufikia!
Hukuona dada ako alivyokua anapambana kuilinda status ya kuwa peke yake kwa mkantriweldi [emoji23]
 
😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑
 
Tatizo sio kuporwa, unaporwa na naniii?
Toleo jipyaa kweliiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasemajeee nime surrender. Nacheka km mwehu hapa.
 
Tatizo sio kuporwa, unaporwa na naniii?
Toleo jipyaa kweliiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasemajeee nime surrender. Nacheka km mwehu hapa.

Toleo jipya ni shida [emoji23]
Ila imekuuma sana!!
Pole jikaze ndo maisha.

Ko jimbo liko wazi??
Njoo tupambane na mikopo ya kausha damu, mapenzi waachie kina Zamaradi na Shabani Madobe!! [emoji23][emoji23]
 
Toleo jipya ni shida [emoji23]
Ila imekuuma sana!!
Pole jikaze ndo maisha.

Ko jimbo liko wazi??
Njoo tupambane na mikopo ya kausha damu, mapenzi waachie kina Zamaradi na Shabani Madobe!! [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizii wallah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…