Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Yaan alivyo chachuka na kushanduka, nehiiii hapana kwa kweliii.
Kikundi nchonchobo kisha muharibu baba wa watu. Had hurumaa yaan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], afu hafananiii sasa.


Muambie wee alokuuliza, akitaka kukujua akupe vocha kwan.

Kochoz crew ndo wamemuharibu? [emoji23]
Unamsingizia sio kweli
 
Kochoz crew ndo wamemuharibu? [emoji23]
Unamsingizia sio kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mie nimesema nn? Usinilishe maneno.
But JF ni zaidi ya uijuavyo au uiaminivyo.
 
Sasa sisi tutaenda km ndugu wa kiumeni au kiumeni 2 [emoji23]
Hapo sijaelewa dada Farida
Nitaenda km bi mkubwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km Ex sitakiii, nataka status ya bi mkubwa.
 
Nitaenda km bi mkubwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km Ex sitakiii, nataka status ya bi mkubwa.

[emoji23][emoji119]
Jamani hii imeenda
Bi mkubwa km bi mkubwa
Unaingia na benbat la nani?
Km nawaona machura wanavyokufagilia njia mama la mama!!
Mama mwenye mume wake halali! [emoji23]
 
[emoji23][emoji119]
Jamani hii imeenda
Bi mkubwa km bi mkubwa
Unaingia na benbat la nani?
Km nawaona machura wanavyokufagilia njia mama la mama!!
Mama mwenye mume wake halali! [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halali bila ndoa? Ila uchungu jamani!!
Sa itakuajee??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halali bila ndoa? Ila uchungu jamani!!
Sa itakuajee??

Inauma kumbe? Mi nilijua we sugu[emoji1787][emoji1787]
Mume anauma sana, alafu akuache ghafla kwa kuporwa [emoji1787]

Kunywa maji mengi!!
Ila ukewenza unao na umekufikia!
Hukuona dada ako alivyokua anapambana kuilinda status ya kuwa peke yake kwa mkantriweldi [emoji23]
 
Inauma kumbe? Mi nilijua we sugu[emoji1787][emoji1787]
Mume anauma sana, alafu akuache ghafla kwa kuporwa [emoji1787]

Kunywa maji mengi!!
Ila ukewenza unao na umekufikia!
Hukuona dada ako alivyokua anapambana kuilinda status ya kuwa peke yake kwa mkantriweldi [emoji23]
Tatizo sio kuporwa, unaporwa na naniii?
Toleo jipyaa kweliiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasemajeee nime surrender. Nacheka km mwehu hapa.
 
Tatizo sio kuporwa, unaporwa na naniii?
Toleo jipyaa kweliiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasemajeee nime surrender. Nacheka km mwehu hapa.

Toleo jipya ni shida [emoji23]
Ila imekuuma sana!!
Pole jikaze ndo maisha.

Ko jimbo liko wazi??
Njoo tupambane na mikopo ya kausha damu, mapenzi waachie kina Zamaradi na Shabani Madobe!! [emoji23][emoji23]
 
Toleo jipya ni shida [emoji23]
Ila imekuuma sana!!
Pole jikaze ndo maisha.

Ko jimbo liko wazi??
Njoo tupambane na mikopo ya kausha damu, mapenzi waachie kina Zamaradi na Shabani Madobe!! [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizii wallah.
 
Back
Top Bottom