Mention someone without any reason just to disturb them

Siku moja moja mtu akinivuruga navumilia weeh nikichoka sasa habari atazipata makapuku na ye anashindwa vumilia anakuja na id fake [emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi pambe tu
Basi makapuku ni selfika part 2🤣🤣🤣🤣
 
Na mi ndio napenda hivi!! Kwenye vagi ukija njoo na id yako iliyozoeleka inaleta raha. Mnachachuana mpk kila mmoja akitoka hapo anachekea pembeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka mods wanaamua kuwa pembeni kuwa wafatiliaji
 
Basi makapuku ni selfika part 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapana hapana sio selfika ile tunaishi kwa upendo sanaaaa sanaaaa ila tu inakuwaga bahati mbaya sana inatokea na uvumilivu unashindwa kuvumilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…