Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Mtu alifungua matipo akavamia makapuku kujifanya anawajua watu kwa stori za kuambiwa ambazo hata haelewi ni uongo au vp 🤣🤣
Hebu Ngoja nisome Makupuku leo maana sijawahi hata kuifungua kwasababu ya hiyo title yake🤣🤣🤣🤣!
 
Pm mimi wanaume wanaonitongoza siwapi kipaumbele, nawajua nikijimix na mdomo wangu watanileta nginja nginja 😂😂😂😂
Yaani ukijichanganya PM imekula kwako, ashukuriwe Mungu anayeniongoza kuhusu kujibu PM🤣🤣🤣🤣
 
Siku moja moja mtu akinivuruga navumilia weeh nikichoka sasa habari atazipata makapuku na ye anashindwa vumilia anakuja na id fake [emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi pambe tu
Basi makapuku ni selfika part 2🤣🤣🤣🤣
 
Na mi ndio napenda hivi!! Kwenye vagi ukija njoo na id yako iliyozoeleka inaleta raha. Mnachachuana mpk kila mmoja akitoka hapo anachekea pembeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka mods wanaamua kuwa pembeni kuwa wafatiliaji
 
Back
Top Bottom