Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Wifi humu ukitulia taarifa mbona ziko wazi, kuna sehemu watu wanajichanganya wenyewe 😂😂😂😂Mimi nashangaa huwa unatoaga wapi taarifa🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wifi humu ukitulia taarifa mbona ziko wazi, kuna sehemu watu wanajichanganya wenyewe 😂😂😂😂Mimi nashangaa huwa unatoaga wapi taarifa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 mimi nimeshindwa, ila nitaanza kutulia vizuri sana nikipata mudaWifi humu ukitulia taarifa mbona ziko wazi, kuna sehemu watu wanajichanganya wenyewe 😂😂😂😂
Mtu alifungua matipo akavamia makapuku kujifanya anawajua watu kwa stori za kuambiwa ambazo hata haelewi ni uongo au vp 🤣🤣Kumbe makapuku huwa ina hit eeh? sijawahi kujua😂
🤣🤣🤣🤣 kumbeAnapewa na udugu 🤣🤣🤣
Pm mimi wanaume wanaonitongoza siwapi kipaumbele, nawajua nikijimix na mdomo wangu watanileta nginja nginja 😂😂😂😂Kuna umuhimu wa kufunga pm wallah🤣🤣🤣
We tulia utaona manjegeka yote 😂😂😂🤣🤣🤣 mimi nimeshindwa, ila nitaanza kutulia vizuri sana nikipata muda
[emoji23][emoji23] kwenye vagi uje na ID yako
Hizo zingine tumia labda ukiwa banned. Ila kutumia fake kutukana watu unakuwa mshamba tu.
Hebu Ngoja nisome Makupuku leo maana sijawahi hata kuifungua kwasababu ya hiyo title yake🤣🤣🤣🤣!Mtu alifungua matipo akavamia makapuku kujifanya anawajua watu kwa stori za kuambiwa ambazo hata haelewi ni uongo au vp 🤣🤣
Ila huwa nakuta mpambano katikati🤣🤣🤣We tulia utaona manjegeka yote 😂😂😂
Kumbe makapuku huwa ina hit eeh? sijawahi kujua[emoji23]
Yaani ukijichanganya PM imekula kwako, ashukuriwe Mungu anayeniongoza kuhusu kujibu PM🤣🤣🤣🤣Pm mimi wanaume wanaonitongoza siwapi kipaumbele, nawajua nikijimix na mdomo wangu watanileta nginja nginja 😂😂😂😂
Basi makapuku ni selfika part 2🤣🤣🤣🤣Siku moja moja mtu akinivuruga navumilia weeh nikichoka sasa habari atazipata makapuku na ye anashindwa vumilia anakuja na id fake [emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi pambe tu
Na mi ndio napenda hivi!! Kwenye vagi ukija njoo na id yako iliyozoeleka inaleta raha. Mnachachuana mpk kila mmoja akitoka hapo anachekea pembeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂 pole yakoIla huwa nakuta mpambano katikati🤣🤣🤣
Kqsome magazeti 😂😂Hebu Ngoja nisome Makupuku leo maana sijawahi hata kuifungua kwasababu ya hiyo title yake🤣🤣🤣🤣!
Mtu alifungua matipo akavamia makapuku kujifanya anawajua watu kwa stori za kuambiwa ambazo hata haelewi ni uongo au vp [emoji1787][emoji1787]
Wakimaliza wanaanza kuwanyoosha na ban 🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka mods wanaamua kuwa pembeni kuwa wafatiliaji
Basi makapuku ni selfika part 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini kwanini ashughulike na visivyo husika nae 🤣🤣[emoji1787] hata kama za kweli hakuna cha ajabu ujue
Kqsome magazeti [emoji23][emoji23]