Mention someone without any reason just to disturb them

Wanasema ombeni nanyi mtapewa....lakini tangu nimeanza kuomba hiyo Kiko Mwaka wa pili huu hujaniletea Mjukuu 🤗

Hili baridi la Arusha litaniua Babu yenu, Fanya kuniletea walau Kiko niwe navuta vuta kupunguza baridi 😜
Babuuu,Mimi sikuwezi wewe Mzee wa mjini,wewe Kwa story zako itakuwa unakunywaga alkasusu na mchuzi wa pweza😂😂😂.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…