cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
Unajua ulichofanyaNimefanya nn miee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua ulichofanyaNimefanya nn miee
Mzee mwenzangu umeomba kiko kwa Joannah kitaalam sana😅😅😅😅Wanasema ombeni nanyi mtapewa....lakini tangu nimeanza kuomba hiyo Kiko Mwaka wa pili huu hujaniletea Mjukuu 🤗
Hili baridi la Arusha litaniua Babu yenu, Fanya kuniletea walau Kiko niwe navuta vuta kupunguza baridi 😜
Halafu pension imetoka tangu Mwezi uliopita ujue 😜Sasa wewe vyako hutaki tule ila vya wenzio unataka ule inawezekanaje?
😂😂😂Halafu pension imetoka tangu Mwezi uliopita ujue 😜
Hebu niletee Kiko Babu yako 🤗
Babuuu,Mimi sikuwezi wewe Mzee wa mjini,wewe Kwa story zako itakuwa unakunywaga alkasusu na mchuzi wa pweza😂😂😂.....Wanasema ombeni nanyi mtapewa....lakini tangu nimeanza kuomba hiyo Kiko Mwaka wa pili huu hujaniletea Mjukuu 🤗
Hili baridi la Arusha litaniua Babu yenu, Fanya kuniletea walau Kiko niwe navuta vuta kupunguza baridi 😜
Hii nimeikubali sana yani! Peleka kiko kwa babu yako kijijini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kiko!kweli Babu ni muombaji mahiri sana
Aaah Thubutuuuuu 😁😁😁huyo Babu toboa too,ukijichanganya tu utafurahia shooHii nimeikubali sana yani! Peleka kiko kwa babu yako kijijini🤣🤣🤣🤣
Aaah wapi hapo Bora Kiko nikuletee legend popote ulipo😥Nachojua huyu mtaenda sawa, speed ya wazee si unaijua hatuna haraka🤣🤣🤣
Sasa hapa umeongea kikubwa zaidi, niletee legend. Si unajua mimi navuta taratibu sina hata haraka...🤣🤣Aaah wapi hapo Bora Kiko nikuletee legend popote ulipo😥
Mkuu vipo tena, wazee tunataka kupumzishana ili uzee wetu uende vizuri 🤣🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Ndio maana nawapisha mkuu..nazurula kariakoo usiku kuzuri sanaMkuu vipo tena, wazee tunataka kupumzishana ili uzee wetu uende vizuri 🤣
🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo Legend wewe Kiko unavuta bila papara?Dah nyie vijana mnaozeekea mjini ni watundu sanaSasa hapa umeongea kikubwa zaidi, niletee legend. Si unajua mimi navuta taratibu sina hata haraka...🤣🤣