Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
ila wewe unavopinga ndoa sasa๐๐๐ hua naona comments zakoMpaka apatikane wa kukuoa nicheze nyimbo ya Mario kabla haijachuja ๐น๐น๐น
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila wewe unavopinga ndoa sasa๐๐๐ hua naona comments zakoMpaka apatikane wa kukuoa nicheze nyimbo ya Mario kabla haijachuja ๐น๐น๐น
Polee sana Odo ๐๐ njoo huku kigamboni basiNashindwaga kuelewa na kuzoea hili sijui ni baridi au ni upepo ila upepo wa Dodoma ni hatari unanyanyua Hadi mchanga unakuchapa nao ๐ช
Hypocrite ๐Miss you alotoooo
tz kubwa sana kijana,, kwan wewe ni mgogo ,,kama sio kwenu,,rudi kijijin kwenu๐๐ overMiss R mwenzako hali mbaya au mtafurahi nikibaki dodoma huku
๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ๐ฅบ
Niko poa kabisaKwema dada yangu upo gudi ?
Ok poa wasalimie sana mwanza hapoNiko poa kabisa
Umeachana na mama nisipitwe. Wakichaga Hope urassaPolee sana Odo ๐๐ njoo huku kigamboni basi
๐๐ Mashangazi yamekuacha yote totooJaman jamn...
Kwa kweli haya sina mengi...
Ila napitia hali ya ajabu ujue wee assume nikizingua tuu nabaki huku na palivo pakame weeeh
Sawa ntawasalimiaOk poa wasalimie sana mwanza hapo
wapi my ๐๐๐Alafu si umeona kule.... Nime kutag
Huyo alinivunjia simu juzi baada ya kukuta nachat na Sabrina niliyekutana nae sabasaba majuzi ๐๐๐ kavunja Tambo la laki 4๐ญ๐ญUmeachana na mama nisipitwe. Wakichaga Hope urassa
Wananiita president wa mbagala nzimaaaaa..Poor Brain Mkuu wa mkoa wa mbagala to Chamazi
Leo nilipita mbagala Mkuu naunga mkono hojaWananiita president wa mbagala nzimaaaaa..
Mbagala kubwa kuliko temeke
Natafuta sehemu ya field kule...wapi my ๐๐๐
Mchaga bahili JF nzima yule nguvu za kuvunja simu anatoa wapi? Ameanza lini kuwa na wivu?Huyo alinivunjia simu juzi baada ya kukuta nachat na Sabrina niliyekutana nae sabasaba majuzi ๐๐๐ kavunja Tambo la laki 4๐ญ
Ulipita maeneo gani mkuu rang 6/2 auLeo nilipita mbagala Mkuu naunga mkono hoja
aaaah haya mabadiliko yetu yanawachanganya sana ujue ๐๐๐๐๐น๐น๐น Wanaume wajinga sana wanahisi ndoa km ni kitu special sana.!!
Kwamba mwanamke anaiwaza ndoa muda wote, kumbe wenzao tunawaza vitu vingine kabisa.