Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Mchaga bahili JF nzima yule nguvu za kuvunja simu anatoa wapi? Ameanza lini kuwa na wivu?
Kanifanya nimelia kwa nguvu sema alinikuta nimelewa nilipiga safari kubwa 5 nilikapiga makofi nikataka kukachapa na mkanda kaka kimbia usiku wa manane
 
😂😂😂 Kwann ulimu ignore??
Mimi nilijua wewe kichwa panzi humshindwi kumchachua.!! Kumbe na wewe umemshindwa 😹😹

Lethergo twende kwa Mwamposa utolewe majini kila mdada anakublock utajioa mwenyewe shauri yako.!
Njoo chumbani mubebe tuongee vizuri naona umeng'arisha avatar hapo Mafisi mate yanawatoka, woooi nyie Mafisi msiguse Mali za watu
 
😂😂😂 Kwann ulimu ignore??
Mimi nilijua wewe kichwa panzi humshindwi kumchachua.!! Kumbe na wewe umemshindwa 😹😹

Lethergo twende kwa Mwamposa utolewe majini kila mdada anakublock utajioa mwenyewe shauri yako.!
Wakati nishakuoa au Wewe umeshaniignore
 
FB_IMG_1720294089215.jpg
 
Back
Top Bottom