Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
🤣🤣🤣🤣 mimi nimekuonaSijaelewa hapo yaan ndio yeye kasema hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 mimi nimekuonaSijaelewa hapo yaan ndio yeye kasema hivyo?
Duuuh kunogewa?😂😂😂😂🙌🙌🙌
Itakuwa alinogewa ukamuacha ndiomana ana hasira
aseeee weww tulia basi🤣🤣😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁
🤣🤣🤣 Weeeh kumbe!!IPO ndio
woooiii,,kwanza ulikua unawazodoa kiuoga sana,, ingekua mimi hakika ningepewa ban ya life😂😂 ndoman sipendiWale maadui mchele mchele wa kazi gani mimi?? Wanachokiweza kuombea ban ili watingishe vibinda nkoi vyao humu.!! 😂😂😂
Wasingeripoti km wanajiamini waone
Wewe mchokozi sana🤣🤣🤣 Weeeh kumbe!!
Km ngapi?
Unyama sana ulikua unaingia wapi njia ya kongowe au kule chamazi2 kaka
jipange sana tena sana 😂😂😂we nione nacheka cheka ukajua ndo fala ivi iviYqani wewe subiri tuu tafumba domo hilo 😂😂😂😂
Nimefanyaje tena 😜Wewe mchokozi sana
mbona sikuona na nilkua sambamba na ule ugomvi 🤣🤣🤣Kiuoga nilimpa moja hilo la ukweli hakafu la moto limemchoma mpk maini, chap kwa mod hiiiiiii momy kanidhalilisha 🤣🤣🤣
Hebu niache nisije kuachia lingine la fisadi kiwembe akakimbia tena kusemelea tunawanyanyapaa na haki zao za upinde
Umeanzisha ligi hukuNimefanyaje tena 😜
Basi tuondoke mshkaji wangu 😂Umeanzisha ligi huku
we jaribu tu siku😂😂Ahahahhaa nasaje
Nasemaje
Nasemaje
Atapigwa mtu kama ngoma
🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️😂😁😁Kuna mdau alipigwa kipigo kina muuma roho hadi anaishia kusonya Sonya 😂😁 pruu mpaka chini kipigo awe na adabu
we nijaribu siku,, hakika ntapgwa ban kwajil ako 😂😂😂😂😂😂😂😂Au sio unajikuta uni undafii sio
Sitaki tena ushikaji na Wewe mwenzio kaniignore huyo anaujua Moto wangu hauzimwi na yoyote humu nikiuwasha Wewe unatafuta pa kujifichiaBasi tuondoke mshkaji wangu 😂
😂😂😂😂 Hakuogopi bana.Sitaki tena ushikaji na Wewe mwenzio kaniignore huyo anaujua Moto wangu hauzimwi na yoyote humu nikiuwasha Wewe unatafuta pa kujifichia
Unanilengesha km vile sielewi unajua
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 UkorofiiiiiiiImeuumiza sana roho yaani sana 😂😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂 naskia ni cheapest sana huyu mdau