ila wewe unavopinga ndoa sasaπππ hua naona comments zakoMpaka apatikane wa kukuoa nicheze nyimbo ya Mario kabla haijachuja πΉπΉπΉ
Polee sana Odo ππ njoo huku kigamboni basiNashindwaga kuelewa na kuzoea hili sijui ni baridi au ni upepo ila upepo wa Dodoma ni hatari unanyanyua Hadi mchanga unakuchapa nao πͺ
Hypocrite πMiss you alotoooo
tz kubwa sana kijana,, kwan wewe ni mgogo ,,kama sio kwenu,,rudi kijijin kwenuππ overMiss R mwenzako hali mbaya au mtafurahi nikibaki dodoma huku
π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί
Niko poa kabisaKwema dada yangu upo gudi ?
Ok poa wasalimie sana mwanza hapoNiko poa kabisa
Umeachana na mama nisipitwe. Wakichaga Hope urassaPolee sana Odo ππ njoo huku kigamboni basi
ππ Mashangazi yamekuacha yote totooJaman jamn...
Kwa kweli haya sina mengi...
Ila napitia hali ya ajabu ujue wee assume nikizingua tuu nabaki huku na palivo pakame weeeh
Sawa ntawasalimiaOk poa wasalimie sana mwanza hapo
wapi my πππAlafu si umeona kule.... Nime kutag
Huyo alinivunjia simu juzi baada ya kukuta nachat na Sabrina niliyekutana nae sabasaba majuzi πππ kavunja Tambo la laki 4ππUmeachana na mama nisipitwe. Wakichaga Hope urassa
Wananiita president wa mbagala nzimaaaaa..Poor Brain Mkuu wa mkoa wa mbagala to Chamazi
Leo nilipita mbagala Mkuu naunga mkono hojaWananiita president wa mbagala nzimaaaaa..
Mbagala kubwa kuliko temeke
Natafuta sehemu ya field kule...wapi my πππ
Mchaga bahili JF nzima yule nguvu za kuvunja simu anatoa wapi? Ameanza lini kuwa na wivu?Huyo alinivunjia simu juzi baada ya kukuta nachat na Sabrina niliyekutana nae sabasaba majuzi πππ kavunja Tambo la laki 4π
Ulipita maeneo gani mkuu rang 6/2 auLeo nilipita mbagala Mkuu naunga mkono hoja
aaaah haya mabadiliko yetu yanawachanganya sana ujue πππππΉπΉπΉ Wanaume wajinga sana wanahisi ndoa km ni kitu special sana.!!
Kwamba mwanamke anaiwaza ndoa muda wote, kumbe wenzao tunawaza vitu vingine kabisa.