Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Subiri kidogo mambo ya uchaguzi yapite
omg
1599852960583.png
 
Ooh thanks dear, sema jina linavutia sana kulitamka

Thanks for the complement, wewe pia ni among members wanaonivutia hapa jamvini kwa uchangamfu wako na michango yako

Stay blessed
Euww 😘😘😘😘😘🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️Asante..

Huwa unanibariki mno mama...Mungu azidi kukubariki kila inapoitwa leo..uendelee kuwa na busara zaidi na michango yako yenye Mungu ndani yake.

Naomba utambue ninakupenda kwa dhati ya moyo wangu Mtende mama🥰🥰🥰🥰😘😘😘🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🥂🥂🥂
 
Euww 😘😘😘😘😘🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️Asante..

Huwa unanibariki mno mama...Mungu azidi kukubariki kila inapoitwa leo..uendelee kuwa na busara zaidi na michango yako yenye Mungu ndani yake.

Naomba utambue ninakupenda kwa dhati ya moyo wangu Mtende mama🥰🥰🥰🥰😘😘😘🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🥂🥂🥂

asante sana Chakorii, nakupenda pia rafiki
bless you too kipenzi🥰🥰🥰🥰🥰🥰
 
Good Lord..!!
Unajua kile umefanya hapa mama angu.???
Hapa nimeshaviimba, kesho naanza kutembea nimenyanyua mabega..!

Nitaanza kuringa sisalimii majirani nitakupita hadii wewe, na nisilaumiwe nikianza kuringa naomba mumlaumu dear Miss Mtende..!
hahaha asante Carleen, Kuringa ruksa mamii maisha yenyewe haya mafupi, enjoy to the fullest darling
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] asante kwa kugeuka msemaji wangu

Umenichekesha, eti mama kijacho
Ngoja wengine tusiseme mpendwa ila Mungu Anakutumia kwa namna ya ajabu sana. Wewe waweza kudhani kuwa ni vitu vidogo tu unavyofanya lakini katika dunia hii ya sasa iliyojaa vurugu hii, neno moja lenye mwongozo huishi linaweza kubadili maisha ya mtu kabisa. Endelea kutusaidia na kamwe usichoke. Taji lako utalikuta [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Ngoja wengine tusiseme mpendwa ila Mungu Anakutumia kwa namna ya ajabu sana. Wewe waweza kudhani kuwa ni vitu vidogo tu unavyofanya lakini katika dunia hii ya sasa iliyojaa vurugu hii, neno moja lenye mwongozo huishi linaweza kubadili maisha ya mtu kabisa. Endelea kutusaidia na kamwe usichoke. Taji lako utalikuta [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Thank you brother SHIMBA YA BUYENZE, tupo pamoja
 
Back
Top Bottom