Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
- Thread starter
- #341
omgSubiri kidogo mambo ya uchaguzi yapite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
omgSubiri kidogo mambo ya uchaguzi yapite
Euww 😘😘😘😘😘🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️Asante..Ooh thanks dear, sema jina linavutia sana kulitamka
Thanks for the complement, wewe pia ni among members wanaonivutia hapa jamvini kwa uchangamfu wako na michango yako
Stay blessed
Euww 😘😘😘😘😘🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️Asante..
Huwa unanibariki mno mama...Mungu azidi kukubariki kila inapoitwa leo..uendelee kuwa na busara zaidi na michango yako yenye Mungu ndani yake.
Naomba utambue ninakupenda kwa dhati ya moyo wangu Mtende mama🥰🥰🥰🥰😘😘😘🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂
hahaha asante Carleen, Kuringa ruksa mamii maisha yenyewe haya mafupi, enjoy to the fullest darlingGood Lord..!!
Unajua kile umefanya hapa mama angu.???
Hapa nimeshaviimba, kesho naanza kutembea nimenyanyua mabega..!
Nitaanza kuringa sisalimii majirani nitakupita hadii wewe, na nisilaumiwe nikianza kuringa naomba mumlaumu dear Miss Mtende..!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] asante kwa kugeuka msemaji wanguMwenzako kaolewa na anaitwa mama kijacho
Mjumba kajengewa na anamiliki ma Prado[emoji23]
Ngoja wengine tusiseme mpendwa ila Mungu Anakutumia kwa namna ya ajabu sana. Wewe waweza kudhani kuwa ni vitu vidogo tu unavyofanya lakini katika dunia hii ya sasa iliyojaa vurugu hii, neno moja lenye mwongozo huishi linaweza kubadili maisha ya mtu kabisa. Endelea kutusaidia na kamwe usichoke. Taji lako utalikuta [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1787][emoji1787][emoji1787] asante kwa kugeuka msemaji wangu
Umenichekesha, eti mama kijacho
Hapana najoke tu hako ni ka wimbo[emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787] asante kwa kugeuka msemaji wangu
Umenichekesha, eti mama kijacho
Thank you brother SHIMBA YA BUYENZE, tupo pamojaNgoja wengine tusiseme mpendwa ila Mungu Anakutumia kwa namna ya ajabu sana. Wewe waweza kudhani kuwa ni vitu vidogo tu unavyofanya lakini katika dunia hii ya sasa iliyojaa vurugu hii, neno moja lenye mwongozo huishi linaweza kubadili maisha ya mtu kabisa. Endelea kutusaidia na kamwe usichoke. Taji lako utalikuta [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Mahari ungeiweza mkuu? Dadangu cheupe huyo halafu msomi na mchacharikaji aisee tungekugonga hata ng'ombe 70 kabisa kama tulivyomfanya huyo mwenzio wa sasa...[emoji16][emoji16][emoji16]
Aww!😍😍😍
Am not a photographer but i can picture me and you together after 0ctober election.
OMG!those emojis are making me mad I'm gonna store my phone in a museum ryt now[emoji23]
😅😅Nakupenda pia!..