Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Jirani unakosa mambo mazuri...Pm ndio nakunyima jirani, bado sijapata sababu ya kukufungulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani unakosa mambo mazuri...Pm ndio nakunyima jirani, bado sijapata sababu ya kukufungulia
Weee mambo gani hayo jirani, em nidokeze ili ukinihamasisha nikufungulie pm fastaaJirani unakosa mambo mazuri...
Hapa public, twende private kwenye pm yako...Weee mambo gani hayo jirani, em nidokeze ili ukinihamasisha nikufungulie pm fastaa
Jirani nikikufungulia pm utakua unanisumbua, na me usumbufu sipendiHapa public, twende private kwenye pm yako...
Jirani nitakusumbua kwa nusu saa tu, utafurahi mwenyewe...Jirani nikikufungulia pm utakua unanisumbua, na me usumbufu sipendi
Saivi jua kali, wacha basi jua lipoe poe then unikumbushe hilo ombi lako tuone itakavyokua jiraniJirani nitakusumbua kwa nusu saa tu, utafurahi mwenyewe...
Safi sana jirani, unaanza kunielewa sasa...Saivi jua kali, wacha basi jua lipoe poe then unikumbushe hilo ombi lako tuone itakavyokua jirani
Wala sio kukuelewa, naona unalia lia sana roho ya huruma imenijia tu jiraniSafi sana jirani, unaanza kunielewa sasa...
Jirani ongeza huruma kwangu hivyo hivyo... unifungulie pm, hakika hutojutia...Wala sio kukuelewa, naona unalia lia sana roho ya huruma imenijia tu jirani
Na nikija kujuta nikupe adhabu ganiJirani ongeza huruma kwangu hivyo hivyo... unifungulie pm, hakika hutojutia...
Utachagua adhabu itakayonipa maumivu mpaka nijute kukujutisha...Na nikija kujuta nikupe adhabu gani
Sawa jirani, tusije kulaumiana tu badaeUtachagua adhabu itakayonipa maumivu mpaka nijute kukujutisha...
Lawama hakuna jirani, pm unanifungulia baadae ya saa ngapi, naanda summary hapa ya kuja nayo...Sawa jirani, tusije kulaumiana tu badae
Sijasema kama nitakufungulia, naweza kufungua au nisifungue jiraniLawama hakuna jirani, pm unanifungulia baadae ya saa ngapi, naanda summary hapa ya kuja nayo...
Jirani mimi natarajia utanifungulia, nina mengi mazuri tu discuss...Sijasema kama nitakufungulia, naweza kufungua au nisifungue jirani
Inategemea mood yangu kwa wakati huo ikoje jirani, usijipe matumaini sana af badae ukaniona mbaya wakati sikukuahidi.Jirani mimi natarajia utanifungulia, nina mengi mazuri tu discuss...
Kua na huruma jirani, mood yako hainisumbui jirani...Inategemea mood yangu kwa wakati huo ikoje jirani, usijipe matumaini sana af badae ukaniona mbaya wakati sikukuahidi.
Huruma ninayo jirani, mood ndio itaamua uingie pm au uendelee kukaa benchKua na huruma jirani, mood yako hainisumbui jirani...
Kama unanihurumia, basi wepesi upo jirani...Huruma ninayo jirani, mood ndio itaamua uingie pm au uendelee kukaa bench