cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hatariiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nouma na nusu [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatariiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nouma na nusu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka wazi basi, mambo ya mafumbo tena vipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii bora anyapie kwa mama mtumishi, kuna matoleo mapya mjini ni nyaku nyaku hao hatarii, na wameaga kwao vyemaa.Wewe nawe msubiri mkeo arudi mmalizane [emoji23]
Nasikia uko kunyapia, uko huru ss hivi
Km mie huyo ex wangu nilimchachua na kumchangamsha mwenyewe, cha ajabu kapitiliza kuchachuka ananishandua had mie mwenyewe mkufunzi wake.Aloo! Mkeo kashakuambukiza umbea [emoji23]
Unaendeleza kashkashi zake!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongezaaa sautiii nyaku nyaku wasikiee.Cocastic kasema dada ake anaibiwa mume na mama mtumishi[emoji23]
Eti mwaka wao wa kuibiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWaache wapendanao hao [emoji23]
Kwanza unataka kujua nini?
Yako yanakushinda, ya wenzio utayaweza?
Ooh hapo sawa sweetheart [emoji8]Kipenzi changu
Punguza wivu
Hakuna kuchepuka hapa
Huyu ni mdogo wangu sweetheart nashangaa kwa nini ananiita tena shemeji
Lini tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujapewa taarifa nimeachwaa, kuna toleo jipyaa mjini limeniporaaa.
Nime surrender woiiih
Muulize Kaka ako akupe taarifa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lini tena?
Nani huyo amekuzidi mautundu kungwi wetu?Muulize Kaka ako akupe taarifa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Matoloe mapyaa mjini, chezea weyeee.Nani huyo amekuzidi mautundu kungwi wetu?
Toleo jipya nyooohMatoloe mapyaa mjini, chezea weyeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo mrembo[emoji3059]
Unaadimika kama kaka kuona
Imekubali lol
Karibu tena jukwaani muhengaNipo mrembo
Kwa kudonoa sana...mabadiliko ni makubwa humu...kila nikiingia nakutana na mapyaKaribu tena jukwaani muhenga
Nimekumith afu nakupendawa Alaikum.
Ngoja niachane nayo basiAchana na maneno ya watu wenye wivu mrembo...😋