cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wee sema kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chezea Prado wewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee sema kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chezea Prado wewe!!
Na nishamuachia kina Aunt assu masahani adeveleke nao.Anakupenda sema kina Agrey mabakuli wanamzonga [emoji23]
Nikishapenda huwa nakua sina break, hii misosi hutaki?
Kiasiiiii 🔥🔥🔥🔥.. Jua kali..... Mejja Nipo poaNgoja nika tafute Wi-Fi ya hotelini😂😁
Thailand
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi huyo shemeji yako ana kitambiii? Mbna sina taarifa? Au niliyekuaga nae ni clone.Kachekee kwa shemeji huku unamkuna kitambi chake na kucha zako ndefu za kingoni [emoji23][emoji23]
Ndio nataka iwe official mke awe anakaa hapa hapa
Unamjua dada kyutiii weyeee? Kasambaratisha kikundi uchwaraa na babu yao migambutiiii.Huyu mume mtu ananinyapia balaa, had jikoni kaingia kupika kwaajiri yangu [emoji23]
Ananitafutia maneno na dada yako
Ndio nachotaka sababu nampenda sana
Wee sema kweli?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mejja wa Kenya una msikiliza??
Na nishamuachia kina Aunt assu masahani adeveleke nao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kyuti fundi sana, sema mvivu anaweza kutumia siku nzima kupika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kakufundisha kyuti kupika?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi huyo shemeji yako ana kitambiii? Mbna sina taarifa? Au niliyekuaga nae ni clone.
Basi tuyajengeNaitaka kaka fanya kunitumia [emoji23]
Nampenda sana na songi zake 😅😅😅😅Mejja wa Kenya una msikiliza??
Unamjua dada kyutiii weyeee? Kasambaratisha kikundi uchwaraa na babu yao migambutiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna muda hadi naona wivuWee usinambie? [emoji23]
Wewe lazima uwepoWacha wee!!
Harusi tunayo kumbe?
Naomba niwe mwenyekiti wa kamati ya vinywaji [emoji23][emoji23][emoji23]