Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ebu fanya chap[emoji23][emoji23][emoji23] kitu kinakita sio? Ngoja nifanye maarifa [emoji7][emoji7]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu fanya chap[emoji23][emoji23][emoji23] kitu kinakita sio? Ngoja nifanye maarifa [emoji7][emoji7]
Ila bora utulie mdogo wangu hivi nani alikuharibu kukupeleka selfika ujue ulikuwa haupogo hivii [emoji1787]Wifi VAR yangu imekukamata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mecheka aiseee!! Hivi wamekupiga ban na ww??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mi nipo humu kufurahi tyuu!!
Ndiomana sina adui wa kudumu, naweza tukachambana baadae nikakukuta sehemu ina hekaheka umenichekesha nacheka vzr…!!
Sinaga bifu na fake id’s ambazo hata sijui zinafananaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Napenda hekaheka na umbea kuliko kula
Nimelia kwa niaba statement ya mwisho 😆😆[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu
Nimelia kwa niaba statement ya mwisho [emoji38][emoji38]
😍😍😍😘😘😘😘😘Ndio narudi home sasa kutoka kazini
😂😂😂😂 Dada umeona eee!! Yani alaumiwe coca aliyenipeleka selfika..Ila bora utulie mdogo wangu hivi nani alikuharibu kukupeleka selfika ujue ulikuwa haupogo hivii [emoji1787]
😂😂😂😂 Sis acha basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu
🤣😂😁😁Jipya lipo 😂🤣😁😂😂😂😂 una jipya? Au yale yale ya enzi za Magufuli?
🤣😂😁😂😂😂😂 Dada umeona eee!! Yani alaumiwe coca aliyenipeleka selfika..
Ss hivi nimeacha mwaya manjegeka naokoka rasmi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dada umeona eee!! Yani alaumiwe coca aliyenipeleka selfika..
Ss hivi nimeacha mwaya manjegeka naokoka rasmi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sis acha basi
😂😂😂 tatizo nikitulia wananitafuta maneno mpk naanza ugomviSidhani kama utaweza mdogo wangu [emoji1787] ila me nakuombea sana uweze
😂😂😂[emoji1787][emoji1787] nimeacha mdogo wangu
[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo nikitulia wananitafuta maneno mpk naanza ugomvi
😂😂😂 hapo itakuwa uongo sis wala sikuahidiWakikutafuta maneno we kaa kimya tu [emoji1787] na vile huwezi kukaa kimya sasa
🤣🤣 wakati unanifuta niwekee na ka wimbo kokote ka Fally Ipupa nimalize nako kilio cha kwikwi[emoji1787] ukimaliza kulia nije nikufute machozi
Nimwagie sasa🤣😂😁😁Jipya lipo 😂🤣😁
Simba SC wamepigwa kamba mbili😂😂😂🤣😁😂🤣😁😁Nimwagie sasa