Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Wale wa Selfika mnaohamishia mjadala huku nawaona 🙂
🤣🤣🤣🤣 ila active una hekaheka aiseee!!!
Hebu nitolee ban kwanza, mbona mmenipa kimakosa. Kwani nimefanyaje selfika??
Mbona picha tunatupia au wenye picha zenye ukungu hatutakiwi 😜
Wengine uwezo wetu wa itel hatuna iphone
 
Mbona ghafla imekuwaje?? 😂😂😂😂
Kaniambia Mimi mnafikinafiki simsaidii kwenye magumu yake anayopitia humu,Kwa hiyo hata akikuta nashambuliwa hatokuwa na mpango na Mimi😅😍😍
 
Back
Top Bottom