Car4Sale Mercedes Benz ipo sokoni

Car4Sale Mercedes Benz ipo sokoni

Ndinga kali kwa ajili ya mtoto wako ipo sokoni,changamkia fursa mtoto afurahie likizo yake


Gari ina sifa zifuatazo

Gari ni ya kuchaji(12v battery)

Inawashwa na funguo

Mtoto anapanda na kuendesha mwenyewe

Ina music system(Usb port,children songs)

Milango inafunguka

Inawaka taa za mbele na nyuma

Inafaa watoto wa umri wa miaka 1-10

Price:320,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es salaam

Tunafanya delivery popote Tanzania [emoji1241]

Call/Whatsapp:0764108259View attachment 2459585
200 chap dogo avimbe nalo uswazi mwaka mpya[emoji1545]
 
hivi siwezi kupata za watu wazima kuanzia miaka 27 hivi mpaka 45 ila bei icheze humo humo laki tatu na ishirini naweza mwaka mpya nikauanza kivingine

nasubiri majibu
Kuna Liquid nauza ukinunua hiyo liquid ukapaka kwenye hako kagari ka huyo jamaa gari ina expand kua kubwa. Chupa moja ya lita moja inatosha kupaka hiyo gari ikawa kama hizi tunazoziona barabarani.

Liquid hii nilipaka kajumba ka toy kadogo kama kiberiti lika expand kua jumba kubwa ndo naishi hapo sasa.

Ni Liquid yenye mchanganyiko wa magic na chemical ingredients, Bei ya chupa moja ni TZS 1 ,000,000/-.

-☝️Alisikika tapeli mmoja hivi anaetafuta hela ya sikukuu.
 
Kuna Liquid nauza ukinunua hiyo liquid ukapaka kwenye hako kagari ka huyo jamaa gari ina expand kua kubwa. Chupa moja ya lita moja inatosha kupaka hiyo gari ikawa kama hizi tunazoziona barabarani.

Liquid hii nilipaka kajumba ka toy kadogo kama kiberiti lika expand kua jumba kubwa ndo naishi hapo sasa.

Ni Liquid yenye mchanganyiko wa magic na chemical ingredients, Bei ya chupa moja ni TZS 1 ,000,000/-.

-☝️Alisikika tapeli mmoja hivi anaetafuta hela ya sikukuu.
Okay.Hakuna punguzo?
 
Ndinga kali kwa ajili ya mtoto wako ipo sokoni,changamkia fursa mtoto afurahie likizo yake


Gari ina sifa zifuatazo

Gari ni ya kuchaji(12v battery)

Inawashwa na funguo

Mtoto anapanda na kuendesha mwenyewe

Ina music system(Usb port,children songs)

Milango inafunguka

Inawaka taa za mbele na nyuma

Inafaa watoto wa umri wa miaka 1-10

Price:320,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es salaam

Tunafanya delivery popote Tanzania [emoji1241]

Call/Whatsapp:0764108259View attachment 2459585
ivi watu wafupi hatutoshi umo mana nimekipenda nataka ni drive mwenyew

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Ndinga kali kwa ajili ya mtoto wako ipo sokoni,changamkia fursa mtoto afurahie likizo yake


Gari ina sifa zifuatazo

Gari ni ya kuchaji(12v battery)

Inawashwa na funguo

Mtoto anapanda na kuendesha mwenyewe

Ina music system(Usb port,children songs)

Milango inafunguka

Inawaka taa za mbele na nyuma

Inafaa watoto wa umri wa miaka 1-10

Price:320,000/=

Tunapatikana Tabata Dar es salaam

Tunafanya delivery popote Tanzania [emoji1241]

Call/Whatsapp:0764108259View attachment 2459585
Dogo akiipata hii lazima ang'oe pisi kali zote za umri wake

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom