Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kanafaa sana mbona?Kangekua kakubwa kubwa ningechukua nitambe nacho mtaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanafaa sana mbona?Kangekua kakubwa kubwa ningechukua nitambe nacho mtaani
Ukibeba extra battery unafika bossKwa hio kilometa 9 chaji imekwisha
Kuna sehemu nataka endea kwenda na kurudi Ni 10km kumbe kataniishia chaji
For safety reasonsUshauri iendeshewe wapi ? (for safety reasons) ?
Mtoto wa mwaka (1-10) si ni kama kumkabidhi nyundo karibu na TV ?
Au hapo kwenye mwaka mmoja pako vipi
Battery umeulizwa unasema Ni 12v ..hio Ni pressure ya battery Bado hujataja capacity yake Ni AH ngap ambazo zinaisha kwa lisaa na nusuUkibeba extra battery unafika boss
Thanks for erabolative answers by the way hivi kweli mtoto wa mwaka mmoja hata kukaa na miguu kufika kule chini kweli inawezekana au kiuhalisia ni miaka mitano mpaka labda uzito wa mtu ukizidi ili usifanye uharibifuFor safety reasons
Inashauriwa iendeshwe maeneo ya nyumbani
Iendeshwe sehemu isiyo na maporomoko
Iendeshwe sehemu isiyokuwa na mabwawa,visima na vina virefu vya maji
Iendeshwe sehemu isiyokua na magari,na pikipiki nk
Na pia kuhusu umri huo wa mwaka mmoja ni salama kabisa kwa sababu gari haina speed ya kutisha na ina automatic brake pale accelerator ikiachiwa inasimama hapo hapo
Pia gari ina seatbelt kwa usalama zaidi
7 AHBattery umeulizwa unasema Ni 12v ..hio Ni pressure ya battery Bado hujataja capacity yake Ni AH ngap ambazo zinaisha kwa lisaa na nusu
Nina 20Ah7 AH
Hiyo issue ya mtoto wa mwaka mmoja miguu kufika chini ilizingatiwa na manufacturers wa hizi gari za watotoThanks for erabolative answers by the way hivi kweli mtoto wa mwaka mmoja hata kukaa na miguu kufika kule chini kweli inawezekana au kiuhalisia ni miaka mitano mpaka labda uzito wa mtu ukizidi ili usifanye uharibifu
Distance ya remoteHiyo issue ya mtoto wa mwaka mmoja miguu kufika chini ilizingatiwa na manufacturers wa hizi gari za watoto
Achilia mbali miguu kufika chini kwenye accelerator kuna watoto wengine hata ku control tu gari inawashinda kwa sababu wanakua bado wadogo hawana uelewa
Kwahyo hizi gari zinakuaga na function mbili
Remote control na manual control
Hapo kwenye Remote control mzazi anatumia Remote kuiendesha gari endapo mtoto atakua bado hajajua kuendesha mwenyewe
So mtoto anapanda tu kwenye gari ila mzazi ndo unatumia Remote kumuendesha mtoto
Baadae mtoto akishajua kuendesha ndo function ya manual itatumika ambapo mtoto atakua anaendesha mwenyewe na kupiga misele na ndinga lake
meter 150Distance ya remote
Nikikichukua hiko nikikipimp hakiwezi kunitosha ? Naona manesi wananchukulia poa sana pale
Unaweza ukafit kwa size lakini uzito wako ukawa mkubwa ukaishia kukivunjanauliza kwa watu wafupi hatutoshi umo mana nimekipenda ile mbaya
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Chukua ujaribu[emoji28][emoji28]Nikikichukua hiko nikikipimp hakiwezi kunitosha ? Naona manesi wananchukulia poa sana pale
Cha rangi nyeusi hamna au GoldChukua ujaribu[emoji28][emoji28]
Benz Imebaki nyeupeCha rangi nyeusi hamna au Gold
Sheenz
Hazisajiliwi bossUme import nini mbona hata usajili haina