Mercedes G 63 AMG 6*6 sold out, Naam

Mercedes G 63 AMG 6*6 sold out, Naam

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Hii ndiyo ultimate Machine kudadeki! Hii ngoma sio Mchezo! Wengi wetu tumezoea land cruiser 4*4 sasa hii mashine ni 6*6, yaani matairi yote sita (6) yanafanya kazi na mpaka sasa hivi tangu walipoitoa Mercedes imebidi wasimamishe Uzalishaji kwa maana zimeuzwa zote na watu wanazigombania kama mpira wa kona!






amg-g63-6x6-7.jpgamg-g63-6x6-12.jpg

amg-g63-6x6-25.jpg

amg-g63-6x6-29.jpg

amg-g63-6x6-30.jpg

amg-g63-6x6-31.jpg

amg-g63-6x6-32.jpgamg-g63-6x6-33.jpg

amg-g63-6x6-3.jpgamg-g63-6x6-4.jpgamg-g63-6x6-9.jpg

amg-g63-6x6-10.jpg
amg-g63-6x6-11.jpg
 

Attachments

  • amg-g63-6x6-18.jpg
    amg-g63-6x6-18.jpg
    27.3 KB · Views: 741
Inatumia swivel mbele hii ndio gari hasa ya kazi.cc Preta Olesaidumu prondo.
 
Last edited by a moderator:
Kuna sehemu nlisoma wanasema jeshi la austria (sina uhakika vizuri) waliweka oda kutengenezewa gari la aina hii kwa ajili ya kulinda mipaka yao. Waarabu na Warusi walivyoliona wakataka na wao wakata watengenezewe kwa matumizi ya kawaida.

Hili dude sijui maintainance yake itakuwa inafananaje.
 
Kuna sehemu nlisoma wanasema jeshi la austria (sina uhakika vizuri) waliweka oda kutengenezewa gari la aina hii kwa ajili ya kulinda mipaka yao. Waarabu na Warusi walivyoliona wakataka na wao wakata watengenezewe kwa matumizi ya kawaida.

Hili dude sijui maintainance yake itakuwa inafananaje.

Maintanance ya nini tena?
 
Inatumia swivel mbele hii ndio gari hasa ya kazi.cc Preta Olesaidumu prondo.

Ha ha......asante kwa kuniita......ila sijui kwa nini shape yake haijanibariki kabisa..........napenda hizi.........
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    6.4 KB · Views: 1,859
Ha ha......asante kwa kuniita......ila sijui kwa nini shape yake haijanibariki kabisa..........napenda hizi.........


Hiyo ni G 4*4 na hiyo nyingine ni 6*6 ni gari mbili tofauti kabisa!Kwa kuiangalia hii gari labda unaweza usiipende lakini ukitaka kuikubali uangalie teknologia iliyoiingia hapo! Siyo mchezo!
 
Du hiyo ni amazing wakuu sijui gharama take na spareparts

Haya mawazo ndio huwa hayatakiwi kwenye thread kama hizi.........ukiwa na hela ya kununua hiyo gari........utakosa ya spea........?........automatically kama una hela ya mawazo.........hata kuiangalia huruhusiwi.............
 
Back
Top Bottom