Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
G class iko vizuri, lakini kina bulldog huwa hawaitaji kabisa wakiwa wanajadili best SUV
Mkuu sio kwamba hatuijadili, inatokana na preference ya mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
G class iko vizuri, lakini kina bulldog huwa hawaitaji kabisa wakiwa wanajadili best SUV
Haya mawazo ndio huwa hayatakiwi kwenye thread kama hizi.........ukiwa na hela ya kununua hiyo gari........utakosa ya spea........?........automatically kama una hela ya mawazo.........hata kuiangalia huruhusiwi.............
Hili gari linauzwa Euro 700,000.
Spareparts za nini tena na wewe?
Kuna sehemu nlisoma wanasema jeshi la austria (sina uhakika vizuri) waliweka oda kutengenezewa gari la aina hii kwa ajili ya kulinda mipaka yao. Waarabu na Warusi walivyoliona wakataka na wao wakata watengenezewe kwa matumizi ya kawaida.
Hili dude sijui maintainance yake itakuwa inafananaje.
Hili gari linauzwa Euro 700,000.
Tu....Hili gari linauzwa Euro 700,000.
Haya mawazo ndio huwa hayatakiwi kwenye thread kama hizi.........ukiwa na hela ya kununua hiyo gari........utakosa ya spea........?........automatically kama una hela ya mawazo.........hata kuiangalia huruhusiwi.............
Waambie eti. Hawajui kama side mirror ya amarok ni 2ml.
Hii ndiyo ultimate Machine kudadeki! Hii ngoma sio Mchezo! Wengi wetu tumezoea land cruiser 4*4 sasa hii mashine ni 6*6, yaani matairi yote sita (6) yanafanya kazi na mpaka sasa hivi tangu walipoitoa Mercedes imebidi wasimamishe Uzalishaji kwa maana zimeuzwa zote na watu wanazigombania kama mpira wa kona!
Tu....?.....au hiyo ni bila VAT........?.....
Weka kwa shilling mkuu