Mercedes G 63 AMG 6*6 sold out, Naam

Haya mawazo ndio huwa hayatakiwi kwenye thread kama hizi.........ukiwa na hela ya kununua hiyo gari........utakosa ya spea........?........automatically kama una hela ya mawazo.........hata kuiangalia huruhusiwi.............

Sawa mkuu dunia ndivyo ilivyo
 

That's where the original idea came from. It was for Australian military only until recently.
 
Haya mawazo ndio huwa hayatakiwi kwenye thread kama hizi.........ukiwa na hela ya kununua hiyo gari........utakosa ya spea........?........automatically kama una hela ya mawazo.........hata kuiangalia huruhusiwi.............

Waambie eti. Hawajui kama side mirror ya amarok ni 2ml.
 

Hii kitu ni bei gani? Nafikiri katika maisha hakuna furaha kubwa kama kuipa roho ile kitu inapenda
Mohammed Enterprises ameamua kuwa na brand yake binafsi ya magari ya kubeba mizigo muundo wa scania lakini yanaitwa MO
 
Nililiona kupitia topgear season 21
Hiyo gari hatari hata upepo inajijaza yenyewe kwa kubonyeza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…