Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

daaah asee nimevutiwa sana na huu uzi ningekuwa najua kingereza na me ningesoma vitabu ila daah! siwezi hata kusoma vitabu vya forex yan fursa zinanipita kisa kutojua lugha, inauma sana
Pole mdau ila english zpo au umri umeenda sana?
 
Huyu jamaa anapenda mno kudanganya watu mara ya kwanza ulianza na uongo wa FOREX bado kidogo utaanzisha tuition zako zile za kuzunguka TZ nzima kufundisha watu Ku print nyumba na gari
Don't hate ;be inspired.
Kama ungelikuwa na uelewa mdogo tu ungefanya research yako ;si ajabu wewe hapo unapotokwa povu ndani ya mwaka mzima haujawahi soma ata kitabu kimoja.
Alafu ata haujawahi kutoka nje ya Africa.
Kwa waelewa amabao wametembea mbele uko vitu hivi vina make sense
 
Aisee sipendi matapeli!I really hate them with passion!

F**ck'em!

Ukiona mtu anaanza na mbwembwe za "nimesoma vitabu 86...."Majitu yenye grandiosity namna hii hua ni magonjwa ya schizophrenia.

Acha utapeli na ukatubu!

Matapeli ni matapeli tu. Hata yaongee buzz words namna gani!

Ontario you are a pretender.You are trying hard to sound intelligent but you have been debunked to be a fraud in and out!

Majizi bwana

[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Haters.
Be inspired.
Wewe mwenye ushaidi kuwa ni tapeli kwann haujamfikisha kwenye vyombo vya sheria .
Ontario yupo na ofc zake zinaeleweka uzuri hapa Jf aliweka namba za simu na ofc yake ipo ;wewe wala hatujui ata physical address yako wala ata jina lako kamili.
Sasa nani tapeli?
 
Heko, si mchezo. Je, Mungu atasubiri wafike huko? Ujio wa kristo na mpinga kristo utakuwa haujatokea?
.....Tell me haukua serious ku-quote uzi wote huu ili kuandika huu utumbo.
 
Wanajitahidi, ila siku wakiondoa kifo duniani ndiyo nitawaheshimu
 
Fanya zoezi dogo tu.Fungua uzi mpya andika "Nani Katapeliwa Forex Trading na Ontario",halafu uone watakaojibu.Pia wape ruksa ya kukutumia DMs kama mtu anaona noma kusemea kwenye uzi.

Au andika tu "Nani Kapata Hasara Kwenye Forex Trading Kupitia Platform Ya Bwana Ontario".You will get more DMs than Mark Zukerberg will ever dream of.

Fanya hilo zoezi halafu utanipa majibu!
Kwani ontario ana broker company anayoiendesha ?
 
Huyu jamaa anapenda mno kudanganya watu mara ya kwanza ulianza na uongo wa FOREX bado kidogo utaanzisha tuition zako zile za kuzunguka TZ nzima kufundisha watu Ku print nyumba na gari
Ahahahahahah duh maisha hayana formula nipo njia panda sijui niende kulia ama kushoto.watu wanatuchanganya tu
 
Hii hata mimi kila nikijaribu "kulisukumizia" kwenye ubongo wangu linakataa kabisa,sasa kama nyumba inakuwa printed inamaana hilo printer lenyewe lina ukubwa kiasi gani?......lakini pia kuna lile la kumfyatua binadamu kama tofali maabara,hili nalo japo ni tecknolojia ila nahisi kama "kamba" hivi ila sijui tuendelee kusubiri lakini sidhani.
angalia hapo usiwe unabisha tu
 
Poor TZ
Wenzetu wapo high tech era si ndo tunataka kumalizia kinyerez namba 3 tupate umeme ili tuingie industrial era (hii ikikua 40s au 50s it sound like zama za mawe za kale)
Uache lawama sasa si na wewe uwe Musk,,,
 
People who are complaining kwa sababu ya kupoteza pesa kwenye forex eti kwaajili ya Ontario ni wapuuzi;
Wewe mzazi wako akikupeleka shule uka fail huwezi kusema umefail sababu babako kakupeleka shule.
Forex ilikuwepo ata kabla ya Ontario hajaileta mada hapa JF .
Na it will be there ;watu wanafanya na wanatoka;sasa kama ukiingia bila kuwa na rght knowledge ni shauri yako.
Na akili ni ndogo tu je ni biashara halali au siyo?
Ingekuwa ana tapeli yeye leo wasikngekuwa na kibari cha kufanya kazi.
Naona watu wana hate tu bila hoja za msingi.
If you dont know forex its better you keep quite kuliko kusema Jeff kaibia watu.
 
Kuna hii bookshop mlimani City inautwa MAK ndio nanunua vitabu vingi kwa hapa Bongo. Lakini mara nyingi hua nanunua nikiwa nje ama kuorder moja kwa moja.
VIP nawezapata 3D ya kuprint dola au bitcoin?Maana vyuma vimekaza ramani sioni.Pia vipi hio teknoloji haiwezi kutuondolea ccm maana ndo chanzo cha shida yote ya umasikini huu.
 
Mbona watu wanaifanya hii Forex ndowanasema amna utapeli ila wasioifanya ndowanasema utaeli hii imekaaje

Minimefanya Forex na sijaona nilipotapeliwa au tuanze na maana ya utapeli maana watu wanaongea kama mifuko
 
Hii ndo sababu moja wapo kwanini nchi za kiafrika zinazalaurika.Watu wanashindwa kujenga hoja iliyopo mezani wanakimbia kichaka kingine.Ooh poor African.
Ontario unachosema ni kweli kabisa 20yrs nyuma hakuna aliyedhani kama dunia ingekuwa hapa ilipo starting with mawasiliano,Teknolojia,sayansi and all that staff.Tupo kwenye Information Age dunia ambayo kila kitu kinaenda Kiele ktronic,lazima sisi kama vijana from Afrika tuweze kujiandaa na mabadiliko haya la sivyo tutasombwa like mafuriko.
Hoja hapo sio maendeo ya dunia. Hyo ni gia ya kuwavuta watu kwenye forex.
 
Intelligence ya Binadamu ni kiboko Hakuna kama io, Hizo tech zote zina be controlled na Ubungo wa Binadamu, Labda Zitokee race zingine out of our planet ndio tunaweza kuzidiwa
 
Intelligence ya Binadamu ni kiboko Hakuna kama io, Hizo tech zote zina be controlled na Ubungo wa Binadamu, Labda Zitokee race zingine out of our planet ndio tunaweza kuzidiwa
Ubungo??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
huyu dogo ni tapeli sana asipoacha utapeli watakuja mchoma moto raia.. alianzia mbali forex na baadae akapiga hela za watu akaenda kulimia... na kuwaambia wasubiri wata download hela mwisho wa siku wameambulia manyoya... sasa kaja na mbwembwe nyingiiii mwisho wa siku watu watapigwa hela na kubaki manyoya.. na safari hii ndio watamtia kiberiti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom