Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

d9a0cf8fad31dcf0ed5484b70d895a43.jpg

Kinachoumiza watu ni vitu kama hivi, mtu ana miaka 40 anajiuliza inawezekanaje kijana wa miaka 24 aingize mil 6.7 ndani ya masaa kadhaa. Pia kijana huyo huyo wa miaka 24 anaweza kupoteza hata mil 20 na wala hana stress, wakati yy akipoteza tu vimilioni vitatu anaumwa homa wiki nzima.
Kijana umeyatafuta maarifa na maarifa bila kupepesa yanakutunuku sasa....

Big up mzee....
 
Nitengeneze kinyerez yangu eeh?
Ha ha ha ili mninyonge hadharani
Huku ukitengeza hata manati ya mzungu unaitwa mchochez
Yah!,, Kinyerezi ujue ni middle income suburb ila inakosa utamu,, ina vumbi sasa
 
daaaahhh wewe Jamaa nimtu hatari mnoooo
yaani umezunguka kuielezea hadhira juu ya umuhimu wa technology na vile ambavyo wenzetu wadunia yakwanza walivyofanikiwa mnoo katk huo uwekezaji wa technology

kumbe nguvu yote hiyo uliyokuwa unaitumia ULIKUWA UNATAKA KUWASILISHA NGUVU YA BITCON ambayo nimjomba wake NA FOREX...aisseee
halafu naona kuna mazwazwa ambayo yamekaa yanakushabikia kutokna nakutoking'amua Kile ambacho ulichokilenga ....
haya waungwana nendeni mkanyooshwe ...
 
Mzee,hapa ni catchment area yake...ukishashikwa hapa,sometimes anawaita kwenye trainings zake,huko ndio wanapewa maneno ya ndani kuhusu hiyo occult ya uongo uliotukuka ya hiyo trading platform yao...Nimekwambia,ufungua uzi andika "Nani Kapata Hasara Kwenye Forex Trading na Bwana Ontario" utapata majibu na DMs za kutosha,waulize watakuambia ujinga wote wanaoambiwa.

Na kibaya zaidi,bwana Ontario anawaongelea very smooth,na amejenga persona kwamba ni mtu very intelligent na very successful hivyo dump followers is all what they need to believe.
Niliwahi kuhudhuria semina za forever living product,,wee wana maneno ya kufanikiwa wale watu,acha kabisa
 
Bila shaka Dogo Ontario unaongoza kuwa na haters wengi hapa jf.wabongo punguzeni roho mbaya mtamkatisha tamaa kijana wa watu kushare vitu adhimu na wanajf
Haya lazima yangejitokeza tu
 
Hata kama hajasoma vitabu still ni ujinga badala ya kujadili mada wameishia kumtukana mtu kisa ameleta mada, nilitarajia tum critisize in a positive way ila sio kwa kumuita tapeli mara mwizi, na ukiwauliza amekuibia nini hawana majibu!!

Watanzania baadhi yetu tuna chuki na wivu usio na maana, na ndio maana kuna kiongozi mmoja alisema anataka matajiri waishi kama mashetani, sasa kama kiongozi mkubwa anaongea maneno kama hayo je hawa waliomo humu JF na mtaani unatarajia watakuaje???

Tuko Na roho nyeusi kama ngozi zetu.
 
Kuna mtu humu anatumia nguvu nyingi sana kutetea, I don't know why?

Sio kila kinacholetwa na Ontario lazima kipokelewe in positive view, challenge lazima ziwepo!

Sasa mtu anashupaza mshipa wa shingo utafikiri ana kideri. Pathetic!
Nani huyo
 
Kama mtu ni tapeli humu lazima hili liwekwe hadharani ili kuwaepusha wengine humu kutapeliwa. Matapeli wana njia mbali mbali za kuwavuta watu ili wafanye uhuni wao. Kama kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya huyu uwekwe hapa jamvini ili watu wamuepuke.

Kuna mtu humu anatumia nguvu nyingi sana kutetea, I don't know why?

Sio kila kinacholetwa na Ontario lazima kipokelewe in positive view, challenge lazima ziwepo!

Sasa mtu anashupaza mshipa wa shingo utafikiri ana kideri. Pathetic!
 
Kwaali ilivyo sasa Ontario ata akionekana kariakoo anauza mahindi watu watasema anaandaa mazingira ya kuwapiga watu
Hahahaha
Lakin mi nilijua lazima yote yatatokea,,kwenye mengi kuna mengi piaa
 
Back
Top Bottom