Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,252
we acha tuhahaaa mkuu vip ulipigwa nin? tupe experience bwana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we acha tuhahaaa mkuu vip ulipigwa nin? tupe experience bwana.
funguka mkuu.we acha tu
Kijana umeyatafuta maarifa na maarifa bila kupepesa yanakutunuku sasa....![]()
Kinachoumiza watu ni vitu kama hivi, mtu ana miaka 40 anajiuliza inawezekanaje kijana wa miaka 24 aingize mil 6.7 ndani ya masaa kadhaa. Pia kijana huyo huyo wa miaka 24 anaweza kupoteza hata mil 20 na wala hana stress, wakati yy akipoteza tu vimilioni vitatu anaumwa homa wiki nzima.
We hunioni umejaa chuki hadi kwenye keyboard yako.Thibitisha unachokisema
Yah!,, Kinyerezi ujue ni middle income suburb ila inakosa utamu,, ina vumbi sasaNitengeneze kinyerez yangu eeh?
Ha ha ha ili mninyonge hadharani
Huku ukitengeza hata manati ya mzungu unaitwa mchochez
Hoja hapo sio maendeo ya dunia. Hyo ni gia ya kuwavuta watu kwenye forex.
Niliwahi kuhudhuria semina za forever living product,,wee wana maneno ya kufanikiwa wale watu,acha kabisaMzee,hapa ni catchment area yake...ukishashikwa hapa,sometimes anawaita kwenye trainings zake,huko ndio wanapewa maneno ya ndani kuhusu hiyo occult ya uongo uliotukuka ya hiyo trading platform yao...Nimekwambia,ufungua uzi andika "Nani Kapata Hasara Kwenye Forex Trading na Bwana Ontario" utapata majibu na DMs za kutosha,waulize watakuambia ujinga wote wanaoambiwa.
Na kibaya zaidi,bwana Ontario anawaongelea very smooth,na amejenga persona kwamba ni mtu very intelligent na very successful hivyo dump followers is all what they need to believe.
Haya lazima yangejitokeza tuBila shaka Dogo Ontario unaongoza kuwa na haters wengi hapa jf.wabongo punguzeni roho mbaya mtamkatisha tamaa kijana wa watu kushare vitu adhimu na wanajf
Hata kama hajasoma vitabu still ni ujinga badala ya kujadili mada wameishia kumtukana mtu kisa ameleta mada, nilitarajia tum critisize in a positive way ila sio kwa kumuita tapeli mara mwizi, na ukiwauliza amekuibia nini hawana majibu!!
Watanzania baadhi yetu tuna chuki na wivu usio na maana, na ndio maana kuna kiongozi mmoja alisema anataka matajiri waishi kama mashetani, sasa kama kiongozi mkubwa anaongea maneno kama hayo je hawa waliomo humu JF na mtaani unatarajia watakuaje???
Nani huyoKuna mtu humu anatumia nguvu nyingi sana kutetea, I don't know why?
Sio kila kinacholetwa na Ontario lazima kipokelewe in positive view, challenge lazima ziwepo!
Sasa mtu anashupaza mshipa wa shingo utafikiri ana kideri. Pathetic!
Kuna mtu humu anatumia nguvu nyingi sana kutetea, I don't know why?
Sio kila kinacholetwa na Ontario lazima kipokelewe in positive view, challenge lazima ziwepo!
Sasa mtu anashupaza mshipa wa shingo utafikiri ana kideri. Pathetic!
Hahahaah we baba swalehe ni jangaHapana alkua anakula wirelessly believe me !!
HahahahaKwaali ilivyo sasa Ontario ata akionekana kariakoo anauza mahindi watu watasema anaandaa mazingira ya kuwapiga watu
Akiweka nishtue mkuu!!Kama kuna ushahidi wa kutosha dhidi ya huyu uwekwe hapa jamvini ili watu wamuepuke.