Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Unalipwa sh ngap kumtetea..?
Yeye ni nani asipate upinzani kwenye mada zake..?
Wake up tushajua Idea yake atengeneze wajinga wengi ili akawapige pesa..
Siko hapa kwa ajili ya kumtetea mtu, hanijui simjui, na wewe hunijui sikujui.

Nnachopinga ni hii tabia ya watu kutukana watu na kuwaita wezi bila kuwa evidence hiki ndicho nnachopinga, na hata kama wangekua wanakufanyia hivyo wewe basi jua ningewa pinga wanao kutukana pia!!

Mleta mada kaleta mada na badala ya kujadili na kupinga kwa hoja mmeishi kumtukana na kuonyesha chuki za wazi wazi tena za kijinga kabisa, sasa kama sio ujuha niuiteje?
 

Kinachoumiza watu ni vitu kama hivi, mtu ana miaka 40 anajiuliza inawezekanaje kijana wa miaka 24 aingize mil 6.7 ndani ya masaa kadhaa. Pia kijana huyo huyo wa miaka 24 anaweza kupoteza hata mil 20 na wala hana stress, wakati yy akipoteza tu vimilioni vitatu anaumwa homa wiki nzima.
 
[emoji23] [emoji23] hapo ndipo uliposhindwa kuficha ujinga wako mkuu

Endelea kuwaibia hao hao wanaotafuta pesa kwa njia ya mkato

Ule wizi wako uliokuwa unafundisha watu kuiba pesa ATM umeishia wapi?
Kama una akili timamu umtake radhi Ontario kwa sababu ulichoandika bila shaka comment yako imepotea njia haikuwa ya Ontario. Labda kama hujitambui kwa sasa tusubiri utakapopata akili.
 
Safi sana mkuu
 
'O' kaandikaje? nisaidieni kusoma sina hamu na nyuzi za huyu jamaa. Mi nimeona tu 86/100 books. Sijui vina page ngapi.any ways akili mkichwa.
hahaaa mkuu vip ulipigwa nin? tupe experience bwana.
 
Binadam tunatofautiana sana katika uelewa, ukiuliza anayemponda Ontario amesoma vitabu vingapi ndo utapata jibu nani yuko sahihi
Hata kama hajasoma vitabu still ni ujinga badala ya kujadili mada wameishia kumtukana mtu kisa ameleta mada, nilitarajia tum critisize in a positive way ila sio kwa kumuita tapeli mara mwizi, na ukiwauliza amekuibia nini hawana majibu!!

Watanzania baadhi yetu tuna chuki na wivu usio na maana, na ndio maana kuna kiongozi mmoja alisema anataka matajiri waishi kama mashetani, sasa kama kiongozi mkubwa anaongea maneno kama hayo je hawa waliomo humu JF na mtaani unatarajia watakuaje???
 
Chief uliwashtua watu kwenye upande wa FOREX watu wakaamka wapo wanaopiga hela na wapo wanaoendelea kujifunza na wasipokata tamaa watapiga hela thanks to you man, umezungumzia kuhusu cyptocurency naona watu povu linawatoka si kitoto asante kwa kuwafungua watu wajue tunakoelekea na mahali fursa zilipo na kujiandaa kisaikolojia pia, thanks man you are the best ONTARIO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…