Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ndio ujiandaeEeh Mkuu future inatisha mnooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ujiandaeEeh Mkuu future inatisha mnooo
Anamujaneth shonzaKama Ontario ukikataa kwamba "upepo wa pesa" Sio multiple ID yako itabidi utueleze huwa unamfanya nini kijana mwenzako"[emoji23] [emoji23]
Asee nimeshangaa sana mwanaume kupata muwasho na mahaba kwa mwanaume mwenzake ni laana kwa mtoto wa kiume!Kama Ontario ukikataa kwamba "upepo wa pesa" Sio multiple ID yako itabidi utueleze huwa unamfanya nini kijana mwenzako"[emoji23] [emoji23]
Kama nipo sahihi nnahisi hapa alimaanisha hiyo printer inakuwa ina print kitu kimoja kimoja baadae ukiviunganisha unapata hiyo nyumbaHii hata mimi kila nikijaribu "kulisukumizia" kwenye ubongo wangu linakataa kabisa,sasa kama nyumba inakuwa printed inamaana hilo printer lenyewe lina ukubwa kiasi gani?......lakini pia kuna lile la kumfyatua binadamu kama tofali maabara,hili nalo japo ni tecknolojia ila nahisi kama "kamba" hivi ila sijui tuendelee kusubiri lakini sidhani.
Mkuu nilikuwa nakusapoti ila nmegundua wewe ni muongo na ni smartest tapeli eti fridge isafiliashwe kama pesa kudadeq acha uongo kuiyo ikitumwa itapaa hewani au tutakuwa tunaenda kutoa fridges m-pesa?Kitu ninachokipenda zaidi kuhusu Internet ni uwezo wake wa kutunza taarifa. Huu uzi utakaa hapa hata wajukuu zetu watauona, natamani pia kungekua tunatumia real Identity zetu ili hata watoto wetu waje waone baba zao walikua na akili gani miaka ya 2018. Naomba niwe na busara ya kua na akiba ya maneno, huu uzi siku si nyingi sana tutakuja kuufukua... I rest my case, Let nature prove me wrong!!
Niendelee na likitabu langu la kitapeli![]()
Na watoto wetu watasafir kwa email haya Mkuu !! Mi siipoMkuu nilikuwa nakusapoti ila nmegundua wewe ni muongo na ni smartest tapeli eti fridge isafiliashwe kama pesa kudadeq acha uongo kuiyo ikitumwa itapaa hewani au tutakuwa tunaenda kutoa fridges m-pesa?
Kwa waliosema kazi ya pesa ni kutransfer immovable property ni wajinga?
Acha kudanganya watu hata bold ana kusupport kwa kukuonea aibu mkuu
Na bado kuna raia wanakuja kumtete dah!Na watoto wetu watasafir kwa email haya Mkuu !! Mi siipo
hahaaaMi huko mbele ntakua printer wa papuchi ...
Ila Mkuu Mi simpondi Ontario wala kumtetea coz Mi nataka aliyetapeliwa aje hapa !!! TuyajengeNa bado kuna raia wanakuja kumtete dah!
Hujamuona mwanaume mwenye comments nyingi kuliko mleta Uzi?Nani huyo
Huyo nae ana yakeAsee nimeshangaa sana mwanaume kupata muwasho na mahaba kwa mwanaume mwenzake ni laana kwa mtoto wa kiume!
Nasikitikia wazazi wake. Poor him!
Ila kweli hata mimi sina upande wowote in short humu sitakagi marafiki wa kijinga ni kuwachana tu hata waniue fresh tuIla Mkuu Mi simpondi Ontario wala kumtetea coz Mi nataka aliyetapeliwa aje hapa !!! Tuyajenge
Huyo nifah secretary wa ontanario mke wa boldHujamuona mwanaume mwenye comments nyingi kuliko mleta Uzi?
Yaani ukichallenge kidogo huyoo kajaa kama shati la mutuz!
Mwanaume kuwa hivyo aibu asee!
Hahahah,,huu uzi utaniua aisee kuna watu mna maneno ,,hizi nyuzi za forex zote kuna comment zinachekesha mnoHujamuona mwanaume mwenye comments nyingi kuliko mleta Uzi?
Yaani ukichallenge kidogo huyoo kajaa kama shati la mutuz!
Mwanaume kuwa hivyo aibu asee!
Huo muwasho wako kwa mwanaume mwenzako si wa nchi hii ( kama kweli we ni mwanaume!)....Kama hujaelewa hata nilichoandika basi kuna ukweli kwenye nilichosema (small-minded)!
Hahahaa najipendekeza?
Ukitakata nisiku quote basi na wewe usini quote as simple as that, sawa?
Kwa kweliIla kweli hata mimi sina upande wowote in short humu sitakagi marafiki wa kijinga ni kuwachana tu hata waniue fresh tu