Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Hii hata mimi kila nikijaribu "kulisukumizia" kwenye ubongo wangu linakataa kabisa,sasa kama nyumba inakuwa printed inamaana hilo printer lenyewe lina ukubwa kiasi gani?......lakini pia kuna lile la kumfyatua binadamu kama tofali maabara,hili nalo japo ni tecknolojia ila nahisi kama "kamba" hivi ila sijui tuendelee kusubiri lakini sidhani.
Kama nipo sahihi nnahisi hapa alimaanisha hiyo printer inakuwa ina print kitu kimoja kimoja baadae ukiviunganisha unapata hiyo nyumba
 
Kitu ninachokipenda zaidi kuhusu Internet ni uwezo wake wa kutunza taarifa. Huu uzi utakaa hapa hata wajukuu zetu watauona, natamani pia kungekua tunatumia real Identity zetu ili hata watoto wetu waje waone baba zao walikua na akili gani miaka ya 2018. Naomba niwe na busara ya kua na akiba ya maneno, huu uzi siku si nyingi sana tutakuja kuufukua... I rest my case, Let nature prove me wrong!!

Niendelee na likitabu langu la kitapeli
8cc330d025b944798c1321dca3df7b80.jpg
Mkuu nilikuwa nakusapoti ila nmegundua wewe ni muongo na ni smartest tapeli eti fridge isafiliashwe kama pesa kudadeq acha uongo kuiyo ikitumwa itapaa hewani au tutakuwa tunaenda kutoa fridges m-pesa?

Kwa waliosema kazi ya pesa ni kutransfer immovable property ni wajinga?

Acha kudanganya watu hata bold ana kusupport kwa kukuonea aibu mkuu
 
Mkuu nilikuwa nakusapoti ila nmegundua wewe ni muongo na ni smartest tapeli eti fridge isafiliashwe kama pesa kudadeq acha uongo kuiyo ikitumwa itapaa hewani au tutakuwa tunaenda kutoa fridges m-pesa?

Kwa waliosema kazi ya pesa ni kutransfer immovable property ni wajinga?

Acha kudanganya watu hata bold ana kusupport kwa kukuonea aibu mkuu
Na watoto wetu watasafir kwa email haya Mkuu !! Mi siipo
 
Kwani nyie hamjui kuwa huyo mshamba wa kujiita Upepo wa Pesa ni Ontario mwenyewe.
 
Hujamuona mwanaume mwenye comments nyingi kuliko mleta Uzi?

Yaani ukichallenge kidogo huyoo kajaa kama shati la mutuz!

Mwanaume kuwa hivyo aibu asee!
Hahahah,,huu uzi utaniua aisee kuna watu mna maneno ,,hizi nyuzi za forex zote kuna comment zinachekesha mno
Eti kama shati la le mutuz
 
Mm Ontario nilimkubali sana na kumuelewa kinoma na zile mada zake za kilimo ufugaji na jinsi alivyokuwa akipambana na hali yake kwa njia ya halali. Nilivutiwa sana na huyu kiumbe lakini amekuja kuwa mtu wa kuwalisha watu upuuzi na kuwapoteza na kuwapotezea mda vijana wa watu kwa mambo ya kipuuzi aisee.
 
Anaandaa mazingira ya kuja kupiga pesa kupitia wajinga wa humu kama ilivyokua kwenye forex. Huyu jamaa ni mpigaji professional ambaye anakupiga huku ukimsujudu kwamba amekusaidia kukufungulia dunia.Anajua kula na watu wanaoweza kumletea Noma.kwa mfano hawa JF wanakula percentage jamaa anapokula vichwa humu Sasa ukila ban kisa umempiga usishangae[emoji23][emoji23]. Naona hadi mzee wa usalama muandishi mzuri jukwaa la intelligence kajiunganae ili kuboresha uandishi wa threads za upigaji kama hii. Wale wazungu bila Shaka watakua matapeli waSomi huko nchini kwao. Yeye anapiga pesa zenu za seminar anaingiza kwenye kilimo na ufugaji alafu nyie mnakaa kusubiri Ku download pesa[emoji23][emoji23][emoji23].Walisikia forex unadownoad pesa wakashoboka Sasa anajiandaa kuja na Bitcoin 3D ili muwe mnaziprint wenyewe majumbani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
 
Kama hujaelewa hata nilichoandika basi kuna ukweli kwenye nilichosema (small-minded)!

Hahahaa najipendekeza?

Ukitakata nisiku quote basi na wewe usini quote as simple as that, sawa?
Huo muwasho wako kwa mwanaume mwenzako si wa nchi hii ( kama kweli we ni mwanaume!)....

Ontario asipate challenges ye nani?

Unawatia aibu wanaume wenzako bwegee wewe, wenzako wanapinga -ve views kwa hoja, we unakurupuka ka mayala wa ambiance!...lione!
 
Back
Top Bottom