Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Mere prediction about the future: Yajayo yanafurahisha, upo tayari?

Ni mkusanyiko mzuri wa yale yanayoendelea ktk dunia ya kwanza.
Elon Musk kwa jinsi ninavyo muona atakuja kuwa tishio sana kiusalama wa dunia USA wamempa clearance kubwa sana ktk mambo ya anga na anakituo chake mwenyewe anajiendesha mwenyewe. Inaweza kufika siku aka atumia vifaa vyake vya anga kwa manufaa fulani yasiopendeza.

Kuhusu digital money nisawa. Lakini nchi kama za Africa naona zitakuwa na loss kwasababu hakuna uahakika wa internet na umeme. Na internet na spidi yake wanamiliki wazungu naona tutapigwa bao sana endapo wataamua kujinufaisha kwa njia zisizo za kihalali.

Hongera kwa simulizi nzuri.
 
Hii kitu ipo kweli mkuu.. Jaribu kufuatilia vizuri tu
Ni kweli ipo. Lakini labda niniueleweshana kuwa inasemwa printed house haimanishi mfumo wa kuprint kama karatasi. Ila ni mashine inayotumia tengeneza nyumba kulingana na ramani iliyisetiwa ktk hiyo mashine. Nafkiri kuna video zingewekwa humu zitasaidia.
 
Ni kweli ipo. Lakini labda niniueleweshana kuwa inasemwa printed house haimanishi mfumo wa kuprint kama karatasi. Ila ni mashine inayotumia tengeneza nyumba kulingana na ramani iliyisetiwa ktk hiyo mashine. Nafkiri kuna video zingewekwa humu zitasaidia.
Inshort wanaprint parts za kutengeneza nyumba sio nyumba yote kwa pamoja.alafu wana assemble manually
 
Aiseee, Asante kwa uzi huu. Yaani Leo nimeamini watu weusi tupo nyuma sana na tutaendelea kua nyuma mpaka siku dunia ikichakaa.

Wakati sisi tunawaza tutafikishaje umeme kila kijiji wenzetu wanawaza vitu tofauti kabisa, wakati tunawaza tutapataje maji safi wenzetu wanawaza tutaaongezaje umri wa binadamu. Sitoshangaa siku wakigundua namna ya ku-renew uhai.

Sisi tuendelee tu na siasa za kununuana..

Mkuu ONTARIO umenifungua macho sana.
 
Back
Top Bottom