Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

sasa nyinyi mnavua ili msichafue zulia!!!
Ni sawa as long as viatu ni visafi unaswali navyo,
elewa hoja ndugu,sasa Mo kupost mti wa krismass inaongeza au kupunguza nini kwenye uislam??
hoja hapa ni kwamba mambo mazuri yanafanywa kuisaidia dini yenu hiyo hiyo na watu wasio waislam ambao mnapenda kuwasakama.
Mkuu kwenye uisilamu kukataza mabaya na kuusiana mema ni part ya Dini yetu, tumeitwa Ummah bora kwa kuusiana mema, Muisilamu anapokosea ni haki yetu kumrudisha kwenye Mstari.

Atakapoachwa bila kukemewa ina maana taratibu utamaduni wa Xmass utaanza kujipenyeza kwenye Uisilamu kama ulivyo jipenyeza kwenye ukristo. Hivyo sisi tupo strict kwenye tamaduni zetu.
 
Ni sawa as long as viatu ni visafi unaswali navyo,
sawa.
Mkuu kwenye uisilamu kukataza mabaya na kuusiana mema ni part ya Dini yetu, tumeitwa Ummah bora kwa kuusiana mema, Muisilamu anapokosea ni haki yetu kumrudisha kwenye Mstari.
hapa ndipo linapozaliwa kundi la wanafiki,Mo atakukosoa wewe lini??au kwavile hupost maovu yako anaishia kukuombea tu!!!!
hili swala lina wivu ndani yake,waislam wote wanaona ni kama Mo anautumia umaarufu wake kunufaisha dini nyingine,wala hakuna hoja ya msingi.
Atakapoachwa bila kukemewa ina maana taratibu utamaduni wa Xmass utaanza kujipenyeza kwenye Uisilamu kama ulivyo jipenyeza kwenye ukristo. Hivyo sisi tupo strict kwenye tamaduni zetu.
hamna ujanja wa kuukwepa utamaduni wa xmass wala mfumo kristo,huo msuli hamna.
imebaki wiki dunia nzima itambue mwaka 2023 toka christo azaliwe na si muhamad.
Mo anakumbusha kuheshimu na kuchukuliana katika imani zetu,wewe kupiga makelele asubuhi hatulali tunavunga,anacheza mpira na ni dhambi,hamsemi.
anapost christmass mnazuka makelele,aisee!!!!
 
sawa.

hapa ndipo linapozaliwa kundi la wanafiki,Mo atakukosoa wewe lini??au kwavile hupost maovu yako anaishia kukuombea tu!!!!
hili swala lina wivu ndani yake,waislam wote wanaona ni kama Mo anautumia umaarufu wake kunufaisha dini nyingine,wala hakuna hoja ya msingi.
Sio lazima Mo aniusie mimi, Mimi naweza Muusia Mo na mwengine akaniusia mimi, huo ndo Uzuri wa uisilami, jukumu la kuusiana mema na kukataza mabaya ni letu wote waisilamu
hamna ujanja wa kuukwepa utamaduni wa xmass wala mfumo kristo,huo msuli hamna.
imebaki wiki dunia nzima itambue mwaka 2023 toka christo azaliwe na si muhamad.
Mo anakumbusha kuheshimu na kuchukuliana katika imani zetu,wewe kupiga makelele asubuhi hatulali tunavunga,anacheza mpira na ni dhambi,hamsemi.
anapost christmass mnazuka makelele,aisee!!!!
Hatukatai Xmass sababu ni sikukuu ya wakristo tunakataa Xmass sababu ni sikukuu ya wapagani ambayo inasherehekea miungu wengine ambao sio Mungu wa Ibrahim.

Mpaka Viongozi wa kanisa wanakubali Xmass sio sikukuu aliozaliwa Yesu ila nashangaa nyie Vidagaa mnakomaa.

Ila ngumu sana kutambua facts wengi wenu ni mashabiki dini mnaziona kama Simba na Yanga
 
Sio lazima Mo aniusie mimi, Mimi naweza Muusia Mo na mwengine akaniusia mimi, huo ndo Uzuri wa uisilami, jukumu la kuusiana mema na kukataza mabaya ni letu wote waisilamu
unafiki mkubwa unasumbua,kwanza kabisa hamuamini katika christo kuzaliwa 25/dec,kama kwenu ni nabii tu mnaadhimisha kazaliwa lini??
tarehe hii wakristo wanaadhimisha kuzaliwa Mungu wao,kitu ambacho ni shirk kwenu,huyu Mungu kwenu ni kibaka mtume tu.
yaani mnamkataa mkombozi,mpaka ukombozi wenyewe.
huyu salah angeweza hata kusema anasherehekea birthday ya mtume wake,na hakuna mtu angethubutu kubishana naye.
ila kawapuuza tu.

Hatukatai Xmass sababu ni sikukuu ya wakristo tunakataa Xmass sababu ni sikukuu ya wapagani ambayo inasherehekea miungu wengine ambao sio Mungu wa Ibrahim.
miungu wengine wepi!!!hii sherehe ni maadhimisho ya kuzaliwa christ,kama sio tarhe hii waislam wanaadhimisha lini siku ya kuzaliwa mtume wa mwenyezi mungu issa!!!
Mpaka Viongozi wa kanisa wanakubali Xmass sio sikukuu aliozaliwa Yesu ila nashangaa nyie Vidagaa mnakomaa.
viongozi hawaitambui tarehe,ila misa wanaitambua.ndio maana huwezi sikia misa ya chrismass inafanyikia bar ila ni kanisani.

Ila ngumu sana kutambua facts wengi wenu ni mashabiki dini mnaziona kama Simba na Yanga
nyinyi mnaotaka kumuua Mo ndio mko serious sana na dini,wakati haikupeleki mbinguni.
yule anajua kabisa kufurahisha waislam sio njia ya kwenda peponi.
 
Stara ya mwanamke wa kiislamu si kufunika kichwa pekee, mwili wa mwanamke wote ni uchi isipokuwa uso na vitanga vyake viwili vya mikono na pamoja na hayo wanawake wa kiswahaba allah awaridhie walikuwa wakifunika nyuso zao mbele za wanaume.
Sasa mke wa Mo Salah ameacha kiungo gani zaidi ya uso kionekane?
Je, watoto wadogo wakike lazima wafunike uso?
Kumbuka kuna tofauti kati ya mwanamke na msichana au mtoto mdoo wa kike.
 
Sasa mke wa Mo Salah ameacha kiungo gani zaidi ya uso kionekane?
Je, watoto wadogo wakike lazima wafunike uso?
Kumbuka kuna tofauti kati ya mwanamke na msichana au mtoto mdoo wa kike.
Watoto hakuna shida, ama huyo dada hajavaa stara.
 
Sasa mke wa Mo Salah ameacha kiungo gani zaidi ya uso kionekane?
Je, watoto wadogo wakike lazima wafunike uso?
Kumbuka kuna tofauti kati ya mwanamke na msichana au mtoto mdoo wa kike.
Muhammad alitamani na kuoa mtoto wa miaka 6 na kumpiga pipe
 
Sisi waislamu ni wanafiki sana...xmas waislamu wote tumepika pilau na tumesherehekea na hakuna alie tuuliza.
 
Duh, tamaduni za magharibi zimeshamuathiri, cheki hata mkewe na binti zake wapo uchi, hawajavaa hijab

Allah atujalie mwisho mwema
Afuate tamaduni za mashariki zilizoanzia kwa Bedouin kujifunika mwili mzima!!!!!!Au afuate tamaduni za kusini au afuate tamaduni za kaskazini zisimuathiri
 
Back
Top Bottom