Aliebuni kavazi ya kujifunika ni Umar na sio AllahStara ya mwanamke wa kiislamu si kufunika kichwa pekee, mwili wa mwanamke wote ni uchi isipokuwa uso na vitanga vyake viwili vya mikono na pamoja na hayo wanawake wa kiswahaba allah awaridhie walikuwa wakifunika nyuso zao mbele za wanaume.