Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
😂🤣😂😂😂Merry Christmas mwamedi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂🤣😂😂😂Merry Christmas mwamedi.
Kuwa uchi manake nini?Duh, tamaduni za magharibi zimeshamuathiri, cheki hata mkewe na binti zake wapo uchi, hawajavaa hijab
Allah atujalie mwisho mwema
Huo urarical utakuua... uzuri jamaa hajali mnachowaza kuhusu maisha na imani yakeDuh, tamaduni za magharibi zimeshamuathiri, cheki hata mkewe na binti zake wapo uchi, hawajavaa hijab
Allah atujalie mwisho mwema
Ila kusema Isa bin Mariam ni Yesu unakuwa hujakufuru!!!𝐖𝐡𝐚𝐭 𝐢𝐬 𝐂𝐡𝐫𝐢𝐬𝐭𝐦𝐚𝐬?
It is the day in which they celebrate the birth of the “son” of Allah سبحانه وتعالى, authu billa!
Saying merry Christmas is a statement of kuffur!
• it goes against the shahada
• it goes against tawheed
• it goes against the Quran
• it goes against all the prophets of Allah سبحانه وتعالى
𝐈𝐛𝐧 𝐀𝐥-𝐐𝐚𝐲𝐲𝐢𝐦 رحمه الله 𝐬𝐚𝐢𝐝:
"Congratulating the kuffaar on the rituals that belong only to them is haraam by consensus, as is congratulating them on their festivals and fasts by saying ‘A happy festival to you’ or ‘May you enjoy your festival,’ and so on. If the one who says this has been saved from kufr, it is still forbidden. It is like congratulating someone for prostrating to the cross, or even worse than that.
It is as great a sin as congratulating someone for drinking wine, or murdering someone, or having illicit sexual relations, and so on. Many of those who have no respect for their religion fall into this error; they do not realize the offensiveness of their actions. Whoever congratulates a person for his disobedience or bid’ah or kufr exposes himself to the wrath and anger of Allaah."
[ 𝐀𝐡𝐤𝐚𝐦 𝐀𝐡𝐥𝐚𝐥 𝐃𝐢𝐦𝐦𝐚𝐡 ]
Do not leave Islam to please others!
Kuna aliyesema kuwa Yesu aliwahi kusherehekea Christmas?Christmass asili yake ni sikukuu ya kipagani, haimo kwenye bible na wala Yesu hajawahi kuisherehekea.
Mashabiki wako sahihi kumrudisha katika njia sahihi.
Kwenye uislamu ukipotea njia unakumbushwa, na hapo Mo Salaa anakumbushwa!
Eti kwa mujibu wa Uislam..Kwanza sio waislam tu ambao hawataki kusikia kitu kinacho itwa krismas hata baadhi ya wakristo wenzenu wana ipinga mfano ni wasabato na waothodoxs.
Kwa mjibu wa uislamu hakuna kitu kinacho itwa krismas ila kwa sababu jamii yetu ni jamii mchanganyiko wa dini hasa uislamu na ukristo ni vyema kufumbia macho baadhi ya mambo ili maisha yaende ,ila ukifuata maandiko ya dini hii sikukuu muislam haruhusiwi kuihusudu kwa namna yeyote ile.
Nyie kina nani?Na haiwezekani tukaishi hivyo mkuu, sisi tuna miiko na taratibu zetu na itabaki hivyo mpaka kufa.
Wapi nimemtaja huyo mchezaji? mimi nimezungumzia kwa mujibu wa uislamu, kuwa sisi tunafuata taratibu za dini yetu na si vinginevyo.Nyie kina nani?
Yaani mnataka kupangia watu namna ya Kuishi.... Yaani wewe umpangie Mo Salah namna ya kuishi maisha yake?
Hahahaha... nyie jamaa ni wapumbavu sana
Angalia vizuri mke wake kavaa kitambaa kichwani. Watoto wake kweli hawajafunika kochwa.Duh, tamaduni za magharibi zimeshamuathiri, cheki hata mkewe na binti zake wapo uchi, hawajavaa hijab
Allah atujalie mwisho mwema
Sasa unaona hiyo ni sawa?Angalia vizuri mke wake kavaa kitambaa kichwani. Watoto wake kweli hawajafunika kochwa.
Wote wamevaa mashari ya mikono mirefu na suruali.
Wale watoto wadogo sana si lazima kufunika kichwa.Sasa unaona hiyo ni sawa?
Sasa kama sio mwenyewe kinacho kuuma ni nini? Wewe endelea na birth day ya Yesu, sie tuna Issa nessiah bin Maryam, sioni haja ya kutukana labda ni chuki zako binfsi dhidi ya Dini tukufu ya haki na ya AllahIla kusema Isa bin Mariam ni Yesu unakuwa hujakufuru!!!
Nyie Waislam ni wapumbavu sana... Mna ujinga mwingi mno akilini mwenu.
Si nyie ndio huwa mnakazana na kushangilia kwelikweli kusema Isa ndio Yesu?
Huyo Yesu anayepatikana kwenye Bible ni Mwana wa Mungu... sasa nyie kila siku mnakazana kumfananisha Isa wenu na Yesu mwana wa Mungu... ila Mo Salah akisherehekea sherehe ya huyo Yesu Mnawaka Moto.
Akili Zenu zina upumbavu mwingi sana...kwa kifupi nyie ni Wapumbavu
WajingaJamaa ame_tweet hii picha sasa hizo comments kutoka kwa jamii ya kiislam wamegoma kumuelewa jamaa wakidhani anataka kuokoka!.
View attachment 2457499
Unafiki ni kitu kibaya sana,utu na kujua Mungu si mavazi bali ni nafsi na roho,ndio maana ukifa hayo mavazi yanabaki mavumbiniDuh, tamaduni za magharibi zimeshamuathiri, cheki hata mkewe na binti zake wapo uchi, hawajavaa hijab
Allah atujalie mwisho mwema
Stara ya mwanamke wa kiislamu si kufunika kichwa pekee, mwili wa mwanamke wote ni uchi isipokuwa uso na vitanga vyake viwili vya mikono na pamoja na hayo wanawake wa kiswahaba allah awaridhie walikuwa wakifunika nyuso zao mbele za wanaume.Wale watoto wadogo sana si lazima kufunika kichwa.
Mjinga gani alikwambia Mungu anazaliwa?Ni itikadi kuwa Leo amezaliwa Mungu