Merry Christmass from Mo Salah

Merry Christmass from Mo Salah

[emoji3][emoji3]hizi dini za ajabu sana yani mtu unadanganywa kitoto kabisa [emoji3]eti mabikra 70 na utajiri,qmmk niache kula sembe langu na maharage kisa?
Unashangaa kipi wakati Musa alipasua bahari akapita katikati kwa miguu akitembea na ndugu zake,sasa inakuwaje unashangaa mabikira 70?hayo kwa Mungu madogo
 
Habiba sio Mtume rehma na amani ziwe juu yake wala swahaba wala tabii wala sii sheikh miongoni mwa mashehe wa kutumainiwa, lakini lipo wazi uislam hauna ushirikiano na dini yoyote ya kikafiri, anayesemaga maneno hayo ni either hajui au mnafiq, wenye suratul fatiha anaomba dua asiangamie wala kupotea kama wakristo na manaswara, kwenye suratul kafirun anawakataa iweje aje hapo aongee mashirikiano kwenye sikukuu za kumkufuru Allah?
Kuna mwanangu mmoja alifanya kihoja nilimshusha sana aisee

Huyu jamaa nimecheza nae utotoni Ni Kama family friends na familia Yao

Siku hizi Ni ustaadh sana sawala Tano anafuga ndevu ananyoa kipara ,anavaa makobazi ,na zile suruali fupi .
Muda mwingi Yuko na kanzu au msuli .

Ni msomi wa degree hapo UDSM

Nikaja sikia Kuna siku alikata kula msosi walioletewa hapo kwao Kama sehemu ya kusherehekea Christmas Tena kutoka kwa majirani zao wa Miaka miingi sana

Aisee

Jamaa akasema "sili msosi wa makafiri"

Nikishangaa sana

Udogoni tulikuwa tunaenda sana hio nyumba walioleta msosi na menyu tulikuwa tunapiga Kama kawa[emoji1]

Dini zinavunjwa mahusiano mema katika jamii
 
Kuna mwanangu mmoja alifanya kihoja nilimshusha sana aisee

Huyu jamaa nimecheza nae utotoni Ni Kama family friends na familia Yao

Siku hizi Ni ustaadh sana sawala Tano anafuga ndevu ananyoa kipara ,anavaa makobazi ,na zile suruali fupi .
Muda mwingi Yuko na kanzu au msuli .

Ni msomi wa degree hapo UDSM

Nikaja sikia Kuna siku alikata kula msosi walioletewa hapo kwao Kama sehemu ya kusherehekea Christmas Tena kutoka kwa majirani zao wa Miaka miingi sana

Aisee

Jamaa akasema "sili msosi wa makafiri"

Nikishangaa sana

Udogoni tulikuwa tunaenda sana hio nyumba walioleta msosi na menyu tulikuwa tunapiga Kama kawa[emoji1]

Dini zinavunjwa mahusiano mema katika jamii

Yupo sahihi kabisa hana kosa lolote ndio uislamu unavyotaka hviyo
 
Basi hio dini ya kinafiki[emoji15]

Tatizo lenu mnataka muongopewe, uislam hauna ushirikiano na dini ingine yoyote linapokuja suala la ibada, sasa wewe unapika ubwbwa unasherehekea kuzaliwa yesu ambaye nyie mnamuita mungu alafi sisi waislamu iman yetu ni kwamba Mwenyezi Mungu hakuzaa wala hana mtoto alafu unataka tujumuike pamoja tule ubwabwa kwa ushirikiano upi? Wanafiq ni nyie mkiwa ndani mnaonesha chuki zenu mkija jukwaani mnataka umoja. Hilo halipo na halitakaa litokee kwa muislam wa kweli anayeijui dini yake.
 
[emoji16][emoji16][emoji16].mbona mnajishtukia?
Alafu hatuna hata habari.
Atajuana na MUNGU WAKE.
kwani yesu alizaliwa tarehe 25 mwezi wa 12?
Fanya kama kazaliwa tarehe hiyo kwanini unaumia???!acha hizo nimemuona ozili naye bonge la mti krismas nyumbani kwake, dj khaled na pogba anasherekea christmas na mkewe ndani wameweka mti christmas utateseka sana
 
Huko dubai miti ya christmas ipo kila kona
Mwaka huu christmas imezidi kusherekewa na hata wale waliokuwaga na chuki za kidin wameposti na miti ndani ya nyumba zao na wengine wameingia ukristo kupitia christmas nina ushahidi kabisa
 
Watu mnakuwaga wajinga, uislam unakanuni taratibu na miongozo yake, ni kuifuata tu usipoifuafa hasara ni yake wewe sio ya waislam sasa iweje ujinga afanye mo salah kuteseka wateseka waislam,?
Kwanini sasa walikuwa wakiposti mwaka jana na juz watu wanawatukana sana ila mwaka huu wapo kimya na wao wamenunua na miti kabisa na kusherekea sikukuu, nineshuhudia wengine wakibadili na din na kuwa wakristo kipind hichi cha christmas wanaomba watu wawasaidie kanisa wakabatizwe
 
Kwanini sasa walikuwa wakiposti mwaka jana na juz watu wanawatukana sana ila mwaka huu wapo kimya na wao wamenunua na miti kabisa na kusherekea sikukuu, nineshuhudia wengine wakibadili na din na kuwa wakristo kipind hichi cha christmas wanaomba watu wawasaidie kanisa wakabatizwe

Ndio umeandika nn sasa mzee??
 
Tuko active sana kubishana mambo ya dini kuliko ata kufuata mafundisho ya hizo dini..

Tunafuata baadhi yanayotupendeza yasiyotupendeza tunayaacha..

Me nadhani kama umeamua kua na dini bac fuata na mafundisho yake kama huwezi kausha tu
 
Huo ndo uislam POA
Fanya kama kazaliwa tarehe hiyo kwanini unaumia???!acha hizo nimemuona ozili naye bonge la mti krismas nyumbani kwake, dj khaled na pogba anasherekea christmas na mkewe ndani wameweka mti christmas utateseka sana
 
Hivi sioni Logic ya haya mambo ya kuendekeza Udini na Ujinga Ujinga mbona Mimi ni Mkristu lakini Siku ya Eid tutafanya sherehe na familia kama ni kula na kuchinja na kunywa pamoja na mavazi mazuri ya sherehe huu utengano wa kijinga jinga hutokana na misimamo ya kijinga jinga na sasa hata sherehe ya wahindi Diwali nayo nitaisherehekea vizuri tu hakuna anayejua kila kitu bwana tusifanyane Wajinga Imani HIZI NYINGI NI ZA KIMAPOKEO TUSITISHANE
 
Back
Top Bottom