ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Unashangaa kipi wakati Musa alipasua bahari akapita katikati kwa miguu akitembea na ndugu zake,sasa inakuwaje unashangaa mabikira 70?hayo kwa Mungu madogo[emoji3][emoji3]hizi dini za ajabu sana yani mtu unadanganywa kitoto kabisa [emoji3]eti mabikra 70 na utajiri,qmmk niache kula sembe langu na maharage kisa?