Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Ha ha ha Jerusalem city, ilikuwepo, ipo na hakuna wa kuifuta. Al-quds ndo ujinga gani sasa?

Ndugu yangu usicheze na Shetani ni mjinga sana ,kwani haujawai kusikia wakisema Adamu alikua Mwislamu??Dini iliyoanzishwa zaidi ya miaka 600 baada ya Yesu kuja.
 
Kumbe mmejaribu hadi kubadili jiji la waisrael halikini imebuma? Leo ndo najua haya.

Ubaya hata mtoto mdogo, ukimuuliza Jerusalem, atakwambia na moja ya jiji kongwe la Israel. Ukweli hujitenga na uongo.

Ona mnavyo hangaika

Al-Quds ( Arabic : ﺍﻟﻘﺪﺱ) is the Arabic name for the city of Jerusalem the capital of Palestine, literally meaning "The Holy One" ( quds = holy)
 
Acha bhana... kumbe ni taifa teule!

Hivi hashindwi kwa sababu ni taifa teule au ni kutokana na misaada mikubwa ya kijeshi anayopewa na US?!

Kwa mfano, during Obama Administration; US waliingia mkataba wa msaada wa $38 Billion kwa kipindi cha miaka 10!

$38 Billion ni zaidi ya TZS 80 Trillion ambayo ni more than TZS Trillion 8 kwa mwaka!

Leo hii Tanzania tupate msaada wa trillion 8 kwa mwaka kwa ajili ya masuala ya kijeshi tu; hivi unadhani kuna taifa Afrika litaweza kutuchezea?

Na sio Africa tu bali nchi kadhaa duniani!

Leo hii wazibie hiyo mirija Israel halafu hizo Trillion 8 wape Hamas tu let alone Iran halafu njoo hapa miaka 5 ijayo utuambie "Taifa Teule" halishindwi!!

Na wanawaonea Palestina kwa sababu hawana msaada wa kijeshi ( hasa silaha) wanaoupata kama wanavyopata wao. Laiti kama wangekuwa na access hiyo kama wao, hali ingekuwa mbaya zaidi kwao, njia zote za kuingiza silaha wanazimulika kutwa kucha 24/7. Maguruneti wanayojitengenezea tu yanawanyima usingizi. Waizraeli wanajificha kwenye kivuli cha taifa teule na kuhalalisha uonevu. Hivi kweli Mungu anaweza kuwa muonevu hivi?
 
Ndugu yangu usicheze na Shetani ni mjinga sana ,kwani haujawai kusikia wakisema Adamu alikua Mwislamu??Dini iliyoanzishwa zaidi ya miaka 600 baada ya Yesu kuja.
Ha ha ha eti nuhu, musa, eliya wote walikuwa waislam[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Waarabu waliwaua waafrica wote waliopelekwa Uarabuni,waliwaua karibu waafrica wote waliokua Misri,Algeria.Libya,Tunisia na Morocco leo eti ndio wanailaani Israel wakijiona wema,huo ujinga hautakaa uniingie akilini.Nakataa kwa jina la Yesu
 
Na wanawaonea Palestina kwa sababu hawana msaada wa kijeshi ( hasa silaha) wanaoupata kama wanavyopata wao. Laiti kama wangekuwa na access hiyo kama wao, hali ingekuwa mbaya zaidi kwao, njia zote za kuingiza silaha wanazimulika kutwa kucha 24/7. Maguruneti wanayojitengenezea tu yanawanyima usingizi. Waizraeli wanajificha kwenye kivuli cha taifa teule na kuhalalisha uonevu. Hivi kweli Mungu anaweza kuwa muonevu hivi?

Hakuna anayeonewa kwa mtu mwenye akili anayejua mambo,Hao wapalestina ni miaka 13 sasa wameachiwa Gaza yote wameshindwa kuanzisha hata serikali.Hawa ni wahuni tuu wa kiarabu.
 
Uteule wao uliisha lkn utaifa wao hakuna wa kuumaliza. Walikuwepo, wapo na watakuwepo, pro Palestine mfahamu hilo. Au mseme kwao ni wapi.

Kudai iliyo mali yako siyo kosa, maana wanaotakiwa kukupa wametia pamba masikioni, lkn lzm kila mtu atwae milki yake
Nikupe mfano mdogo hivi leo red indians wakija wakaanza kuwatoa wamarekani wakidai marekani yote ni yao hivi kuna mtu atawaelewa??

Ukisema israeli kwao ni wapi??
Na mimi ntakuuliza waparestina kwao ni wapi??
Maana waparestina wamezaliwa wanakuta pale ndio kwao kama wamarekani wa sasa hivi tu walivyozaliwa na kukuta america ni yao
 
Na wanawaonea Palestina kwa sababu hawana msaada wa kijeshi ( hasa silaha) wanaoupata kama wanavyopata wao. Laiti kama wangekuwa na access hiyo kama wao, hali ingekuwa mbaya zaidi kwao, njia zote za kuingiza silaha wanazimulika kutwa kucha 24/7. Maguruneti wanayojitengenezea tu yanawanyima usingizi. Waizraeli wanajificha kwenye kivuli cha taifa teule na kuhalalisha uonevu. Hivi kweli Mungu anaweza kuwa muonevu hivi?
Kwao ni wapi? Mataifa mangapi ya kiarabu yameungana kuifuta Israel lkn yameshindwa?
 
Nikupe mfano mdogo hivi leo red indians wakija wakaanza kuwatoa wamarekani wakidai marekani yote ni yao hivi kuna mtu atawaelewa??

Ukisema israeli kwao ni wapi??
Na mimi ntakuuliza waparestina kwao ni wapi??
Maana waparestina wamezaliwa wanakuta pale ndio kwao kama wamarekani wa sasa hivi tu walivyozaliwa na kukuta america ni yao
Jibu ni rahisi, red Indians, marekani wanazuiwa kuingia? Wapalestina kwao panajulikana. Ni misri, tunisia. Algeria, saudia, oman n.k. waachie ardhi ya wenyewe. Kudai mali yako siyo kosa, kosa ni kudai isiyo mali yako
 
Ha ha ha eti nuhu, musa, eliya wote walikuwa waislam[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahaha,nilicheka sana kile kisa cha mtume wa alla kwenda kuongoza ibada Yerusalem akitokea saudi arabia kwa miguu kwa usiku mmoja alifika Yerusalem na kurudi Macca,yaani ni km zaidi ya 3000,na watu wakaamini .
 
Huo uongo utadanganyia kule msikitini huku kuna watu wenye akili zao wanaojua kuanzia mwanzo wa hili jambo.

Wachezaji walitishwa na Wanaharakati wanaoipinga Israel maarufu kama BDS,Messsi alitishwa kupingwa na hii movement dunia nzima.

Hivyo siyo ridhaa yao bali ni shinikizo.Tembelea link hapo chini.

BDS calls on Argentina’s national soccer team to cancel match in Israel - Jewish Telegraphic Agency

Israel Football Association to petition FIFA over nixed Argentina match
Habari haina ukweli wowote..tatizo mnalazimisha kuficha ukweli na kutuwekea makarabrasha kutoka kwa mashetani/kilaab waliolaaniwa na Mungu mpaka Qiyamah kitakapo simama. Kwaheri mkuu
 
Kwanini Messi akatae halafu aseme atarudisha gharama za mechi? au Messi akikataa ndiyo Argentina imekataa? By the way huo mji wa Jerusalem kwa sasa si unatumiwa na wote wayahudi na wapalestina? Ina maana Messi anawaondolea hao waisrael haki ya kutumia sehemu ya mji wanayoimiliki?
Let us see, maana hao jamaa hawakawii kuanza kumshughulikia ili kumshusha na kumuondolea udhamini kupitia makampuni yao yanayomdhamini Messi. Nadhani hakujua ukubwa wa vita anayoiingia na kama angeijua sidhani kama angethubutu.
Endelea kuota mkuu.
 
Nyie mnaoshangilia ndo imewatachi, warabu weusi. Tangu 1948 mnawapinga Israel, leo ni miaka 70 lkn israel hajapungua bali anarejesha maeneo yake yote. Hujiulizi why? Ametengwa mara ngapi? Amewekewa vikwazo vingapi? Amerudi nyuma?

Sema hapa, nani anspoteza kati ya Israel na Palestine?

Kila kitu kina mwisho wake...ipo siku kitawapata hao mbwa usichotegemea..Mungu hachezelewi bwana!
 
Back
Top Bottom