Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Messi aitunishia misuli Serikali ya Israel, Serikali yafyata

Acha bhana... kumbe ni taifa teule!

Hivi hashindwi kwa sababu ni taifa teule au ni kutokana na misaada mikubwa ya kijeshi anayopewa na US?!

Kwa mfano, during Obama Administration; US waliingia mkataba wa msaada wa $38 Billion kwa kipindi cha miaka 10!

$38 Billion ni zaidi ya TZS 80 Trillion ambayo ni more than TZS Trillion 8 kwa mwaka!

Leo hii Tanzania tupate msaada wa trillion 8 kwa mwaka kwa ajili ya masuala ya kijeshi tu; hivi unadhani kuna taifa Afrika litaweza kutuchezea?

Na sio Africa tu bali nchi kadhaa duniani!

Leo hii wazibie hiyo mirija Israel halafu hizo Trillion 8 wape Hamas tu let alone Iran halafu njoo hapa miaka 5 ijayo utuambie "Taifa Teule" halishindwi!!
Samahani mkuu unafikiri nani anasababisha Israel wanapendelewa hivyo? Unataka kuniambia America wanapata nini kutoka Israel kwa huo upendeleo?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Ata wakimchukia ndio ameshaamua na atalipa gharama zote, sasaivi wameanza kukanyaga T-shirt zake hahahahahahahha povu, messi si wa kupelekeshwa Mungu amuweke
1065090611.jpg
 
Acha bhana... kumbe ni taifa teule!

Hivi hashindwi kwa sababu ni taifa teule au ni kutokana na misaada mikubwa ya kijeshi anayopewa na US?!

Kwa mfano, during Obama Administration; US waliingia mkataba wa msaada wa $38 Billion kwa kipindi cha miaka 10!

$38 Billion ni zaidi ya TZS 80 Trillion ambayo ni more than TZS Trillion 8 kwa mwaka!

Leo hii Tanzania tupate msaada wa trillion 8 kwa mwaka kwa ajili ya masuala ya kijeshi tu; hivi unadhani kuna taifa Afrika litaweza kutuchezea?

Na sio Africa tu bali nchi kadhaa duniani!

Leo hii wazibie hiyo mirija Israel halafu hizo Trillion 8 wape Hamas tu let alone Iran halafu njoo hapa miaka 5 ijayo utuambie "Taifa Teule" halishindwi!!
Huyo hatafakari kwa kina analeta habari za story za kitabuni, kweli tuna matatizo ya akili. Hivi huyu muisrael amtake mke wake atampa kisa katoka taifa teule??
Sisi baadhi ya watanzania tuna matatizo makubwa sana ya kufikiri.
 
Mechi kati ya Israel na Argentina iliyokuwa ifanyike tarehe 9 mwezi huu. Imefutwa baada ya Messi kugoma kwenda kucheza kule. Israel waliipeleka ktk mji wa Yerusalem. Tofauti na makubaliano ya awali, kwamba mechi itachezwa Tel aviv.. Yerusalem ni mji ambao Israel na Palestina wanaupigania miaka mingi.
Messi Amesema yeye anaangalia ubinadamu kwanza kabla ya mpira.. Messi amesema, yeye binafsi, atawarudishia gharama zote waandaaji wa ile mechi.''
Huu ndio uungwana na binadamu Messi. Mungu aendelee kukupa hekima na busara za kiwango cha mfalme Sulemani.
Kwanini Messi akatae halafu aseme atarudisha gharama za mechi? au Messi akikataa ndiyo Argentina imekataa? By the way huo mji wa Jerusalem kwa sasa si unatumiwa na wote wayahudi na wapalestina? Ina maana Messi anawaondolea hao waisrael haki ya kutumia sehemu ya mji wanayoimiliki?
Let us see, maana hao jamaa hawakawii kuanza kumshughulikia ili kumshusha na kumuondolea udhamini kupitia makampuni yao yanayomdhamini Messi. Nadhani hakujua ukubwa wa vita anayoiingia na kama angeijua sidhani kama angethubutu.
 
Mungu akamwambia farao, Israeli ni mwanangu mimi, ni mzaliwa wa kwanza wangu mwache akanitumikie. Hayo mengine siyajui..
 
Acha bhana... kumbe ni taifa teule!

Hivi hashindwi kwa sababu ni taifa teule au ni kutokana na misaada mikubwa ya kijeshi anayopewa na US?!

Kwa mfano, during Obama Administration; US waliingia mkataba wa msaada wa $38 Billion kwa kipindi cha miaka 10!

$38 Billion ni zaidi ya TZS 80 Trillion ambayo ni more than TZS Trillion 8 kwa mwaka!

Leo hii Tanzania tupate msaada wa trillion 8 kwa mwaka kwa ajili ya masuala ya kijeshi tu; hivi unadhani kuna taifa Afrika litaweza kutuchezea?

Na sio Africa tu bali nchi kadhaa duniani!

Leo hii wazibie hiyo mirija Israel halafu hizo Trillion 8 wape Hamas tu let alone Iran halafu njoo hapa miaka 5 ijayo utuambie "Taifa Teule" halishindwi!!
mkuu watu wengi hawajui hili, kati ya taifa teule kupokea hela ya Marekani ili kufanikisha agenda Marekani pale mashariki ya kati. Wengine wanaamini Waisrael hawaendi hata haja!
 
Mkuu hii mechi imehairishwa sabbu messi kagoma au sababu Palestinian walitoa vitisho ikiwemo kuchoma pcha zake km game ltapgwa ?
Btw who is messi in this game? Israel wanataka waonekane wanaparticipate in international football kwa hizi international friendly,messi awepo asiwepo wao wanahitaji team nzima wapate international recognition
Mkuu hebu rudia tena!! Who is nani!!??

Mie sitaki kujihusisha katika siasa za huko nikawa myahudi wa bongo, ila hapo kwenye who is messi nenda kamuulize ibrahimovic ama kamtafute icardi halafu ndio umuulize who is messi.
 
Kwanini Messi akatae halafu aseme atarudisha gharama za mechi? au Messi akikataa ndiyo Argentina imekataa? By the way huo mji wa Jerusalem kwa sisi si unatumiwa wote wayahudi na wapalestina? Ina maana Messi anawaondolea hao waisrael haki ya kutumia sehemu ya mji wanayoimiliki?
Let us see, maana hao jamaa hawakawii kuanza kumshusha na kumuondolea udhamini kupitia makampuni yao yanayomdhamini Messi. Nadhani hakujua ukubwa wa vita anayoiingia na kama angeijua sidhani kama angethubutu.
Ngoja tuone!!
 
Mkuu hii mechi imehairishwa sabbu messi kagoma au sababu Palestinian walitoa vitisho ikiwemo kuchoma pcha zake km game ltapgwa ?
Btw who is messi in this game? Israel wanataka waonekane wanaparticipate in international football kwa hizi international friendly,messi awepo asiwepo wao wanahitaji team nzima wapate international recognition
Bila Messi Argentina ina uwezo gani kucheza Israel?.. Messi ni kama mungu mtu Argentina anaweza amua nani apangwe kikosini nani aachwe!.
Messi alitoa altimatum Icardi aitwe yeye asicheze WC akasikilizwa, Messi alitangaza kustaafu wakampigia magotti abadili maamuzi!. Hiyo ndio nguvu ya Lionel Messi 'La Purga' Argentina.
Lakini nampongeza kuchagua Amani na kutoenda Jerusalem, hao jamaa wakiona imewauma wamfate CR7 kama atakubali kuja cheza Jerusalem.
Kwa Mo Salah ni mbombo ngafu napo😀
 
Samahani mkuu unafikiri nani anasababisha Israel wanapendelewa hivyo? Unataka kuniambia America wanapata nini kutoka Israel kwa huo upendeleo?
Faida ya USA kwa Israel ni kumantain jicho lake Middle East!. Unadhani bila Israel pale middle east kuna nani wa kuwawekea ubavu waarabu!.
Leo USA ajaribu kujitenga na Israel aobe waarabu wanavyomgawana, Saudi Arabia ni mchumba tu kwa middle east!.
 
Mechi kati ya Israel na Argentina iliyokuwa ifanyike tarehe 9 mwezi huu. Imefutwa baada ya Messi kugoma kwenda kucheza kule. Israel waliipeleka ktk mji wa Yerusalem. Tofauti na makubaliano ya awali, kwamba mechi itachezwa Tel aviv.. Yerusalem ni mji ambao Israel na Palestina wanaupigania miaka mingi.
Messi Amesema yeye anaangalia ubinadamu kwanza kabla ya mpira.. Messi amesema, yeye binafsi, atawarudishia gharama zote waandaaji wa ile mechi.''
Huu ndio uungwana na binadamu Messi. Mungu aendelee kukupa hekima na busara za kiwango cha mfalme Sulemani.
amejimaliza kushindana na Israel
 
Acha bhana... kumbe ni taifa teule!

Hivi hashindwi kwa sababu ni taifa teule au ni kutokana na misaada mikubwa ya kijeshi anayopewa na US?!

Kwa mfano, during Obama Administration; US waliingia mkataba wa msaada wa $38 Billion kwa kipindi cha miaka 10!

$38 Billion ni zaidi ya TZS 80 Trillion ambayo ni more than TZS Trillion 8 kwa mwaka!

Leo hii Tanzania tupate msaada wa trillion 8 kwa mwaka kwa ajili ya masuala ya kijeshi tu; hivi unadhani kuna taifa Afrika litaweza kutuchezea?

Na sio Africa tu bali nchi kadhaa duniani!

Leo hii wazibie hiyo mirija Israel halafu hizo Trillion 8 wape Hamas tu let alone Iran halafu njoo hapa miaka 5 ijayo utuambie "Taifa Teule" halishindwi!!
Ha ha ha haaaa msamehe tu ALIKURUPUKA kupost bila kufanya analysis ya mambo
 
Back
Top Bottom