DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Ubalozi ni ishu nyingine kabisa, Yeye ni balozi wa utalii lakini anaishi nchi nyingine kabisa, Maisha yake ya kidini hayabanwi na sheria kandamizi za dola ya kiislam ya Saudi Arabia
Messi hawezi kuishi sehemu haruhusiwi hata kusoma biblia hadharaniMimi ni shabiki wa Messi na Maradona, ila umeanzisha mada yako kiudini, wapi messi amegoma kwenda saudia kisa sheria kandamizi! Kama hamuna report za uhakika msiwe mnapost
Tuna tatizo kubwa la watu wengi sio Tanzania tu bali dunia nzima wanaofikiri revenue=profit.Wewe hija ni utajiri kwa Saud Arabia, wageni wote hawalali kwenye misikiti wanafikia hotelini, pia usafiri, vyakula na huduma nyingine , ndo maana Shia ikiongozwa na Iran inataka mji wa Macca uwe huru , usiwe chini ya Saud Arabia, wanatamani iwe kama Vatican city ndani ya nchi ya Italy, ambapo shekhe wa Macca anaweza kutoka nchi yoyote kama alivyo Papa.
Kwa hiyo na wewe mmatumbi hizo kanzu na baraghasia unamtangaza mwarabu?utamaduni wako umemezwa yaani wewe ni mti usio na shina sio?mwenzio wanamlipa wewe je?Kamba hizi Messi ni Balozi wa Saudia kama hufahamu
Revealed: The Huge Sum Messi Reportedly Earns As Saudi Arabia Ambassador
The eye-opening sum that Lionel Messi receives from Saudi Arabia to be a tourism ambassador for the Kingdom, and which has allegedly angered Paris Saint Germain, has been revealed in a report by Spanish media.www.forbes.com
Ingia Instagram ya Messi umuone anavyovaa kanzu na vilemba vya Saudi akitangaza Utalii wa Saudia.
Aaah hao wahamiaji wengi ni kina dada hawana cha maana cha kufanya zaidi ya u housegirl tu na wengi hukimbia manyanyaso na kurudi kwenye nchi zao.Tuongee na data mkuu huwa sipendi stori za Vijiweni
Hizi ni Nchi zenye Migrants wengi duniani
View attachment 3037355
Kama una hesabu Urusi top 10 ni Nchi 5 za Ulaya na kama huihesabu ni Nchi 4 za Ulaya, ukitoa Ujerumani hakuna Nchi ya Ulaya inayopokea Wageni kushinda Saudia, so hoja yako haina Mashiko, Saudia Ni Jangwa kuna hali ya Hewa mbaya why watu wanamiminika kushinda huko Ulaya? Na hizo ni data bila kuangalia population ya nchi husika.
Na hizi ni Nchi zenye Migrants wengi compare na population yao
View attachment 3037361
Nchi kama Uae (Dubai ipo huko) ndio inaongoza Duniani kupokea watu wengi compare na population yao, Takriban Asilimia 88 ya watu wanaoishi huko ni immigrants. Saudia pia haipo mbali by far ina proportion kubwa ya migrants kushinda nchi yoyote ya Ulaya na Uswisi pekee ndio ina karibia.
Jenga hoja yako sasa kwa data na wewe, maneno ya kwenye kanga yaweke pembeni.
Si Kweli, sehemu kama Dubai hakuna Vikwazo, mamilionea na mabilionea kama wote wa China, Urusi, India, mpaka wa west wapo pale.Aaah hao wahamiaji wengi ni kina dada hawana cha maana cha kufanya zaidi ya u housegirl tu na wengi hukimbia manyanyaso na kurudi kwenye nchi zao.
Wrong again mimi sio mmatumbi.Kwa hiyo na wewe mmatumbi hizo kanzu na baraghasia unamtangaza mwarabu?utamaduni wako umemezwa yaani wewe ni mti usio na shina sio?mwenzio wanamlipa wewe je?
Tatizo ni kwamba nchi ikishajaa waislam wanaingiza dini kwenye serikali na kukandamiza haki za dini nyingine
Football ni haramuHuyu ni Mkatoliki mwenye Imani kweli kweli sio kama lili zezeta la ureno limeingia kwenye propaganda za waarabu
๐น๐ฎ๐ฑ Waarabu bado wapo kwenye propaganda ya kizamani ya kushawishi watu maarufu kueneza dini Yao
๐น๐ฎ๐ฑ Mpira wao hawatumii kama burudani Bali nyenzo ya kueneza dini Yao
๐ฎ๐ฑUtaona walipoandaa kombe la dunia, waliwaalika akina Zakir Nir wakitarajia atawabadili dini wazungu
๐ฎ๐ฑ Akina Tyson, wachezaji maarufu wa zamani akina Pogba, Adebayo nk wamelipwa hela nyingi eti wa influence washabiki wao wawafuate
๐ฎ๐ฑ Hilo jinga jinga la ureno halijabadili ila linatumiwa kwenye propaganda
๐ฎ๐ฑ Mwarabu siku zote chochote anachokifanya ni kufanikisha kueneza dini yake