Messi alikataa kucheza uarabuni kwa shilingi Trilioni 4 kwa mwaka sababu ya sheria kandamizi za dola ya kiislamu zinanyanyasa na kubagua wakristo

Messi alikataa kucheza uarabuni kwa shilingi Trilioni 4 kwa mwaka sababu ya sheria kandamizi za dola ya kiislamu zinanyanyasa na kubagua wakristo

Acha uongo wewe dogo , saudia hakuna sheria hizo , watu wanakunywa hata duka la pombe limefunguliwa , acha porojo dogo 😛 😛
 
Kutoka Wikipedia.

Saudi Arabia allows Christians to enter the
country as foreign workers for work or
tourism, but does not allow them to
practice their faith openly. Saudi Arabia
states that they are permitted to privately
practice their religion, but this is not
codified and raids on private practice by
the Committee for the Promotion of Virtue
and Prevention of Vice do occur, though
these have decreased since their powers
were curtailed in 2016. [12] Bringing a Bible
and other types of religious texts into the
country is allowed as long as it is for
personal use. [13]
Saudi kama Dubai tu labda angesema Qatar ...Saudia watu washoot mpaka matangazo ya pombe ...Wanahost mechi za boxing na mieleka kuna matangazo ya pombe .

Mleta mada anawaogopa waarabu , kuna wakristo wanaishi kule ...Kitu asichojua ni kwamba Vatican tu ndio hakuna waislamu ila saudia wakristo wake ...Labda aseme mji kama Meccah na Madinnah.
 
Huyu ni Mkatoliki mwenye Imani kweli kweli sio kama lili zezeta la ureno limeingia kwenye propaganda za waarabu

🔹🇮🇱 Waarabu bado wapo kwenye propaganda ya kizamani ya kushawishi watu maarufu kueneza dini Yao

🔹🇮🇱 Mpira wao hawatumii kama burudani Bali nyenzo ya kueneza dini Yao

🇮🇱Utaona walipoandaa kombe la dunia, waliwaalika akina Zakir Nir wakitarajia atawabadili dini wazungu

🇮🇱 Akina Tyson, wachezaji maarufu wa zamani akina Pogba, Adebayo nk wamelipwa hela nyingi eti wa influence washabiki wao wawafuate

🇮🇱 Hilo jinga jinga la ureno halijabadili ila linatumiwa kwenye propaganda

🇮🇱 Mwarabu siku zote chochote anachokifanya ni kufanikisha kueneza dini yake

Makafiri mnatabu sana. Kwahiyo mtu akiwa mkatoliki ndio anakuwa haswa ila akiwa muislam mkandamizaji.
 
Huyu ni Mkatoliki mwenye Imani kweli kweli sio kama lili zezeta la ureno limeingia kwenye propaganda za waarabu

🔹🇮🇱 Waarabu bado wapo kwenye propaganda ya kizamani ya kushawishi watu maarufu kueneza dini Yao

🔹🇮🇱 Mpira wao hawatumii kama burudani Bali nyenzo ya kueneza dini Yao

🇮🇱Utaona walipoandaa kombe la dunia, waliwaalika akina Zakir Nir wakitarajia atawabadili dini wazungu

🇮🇱 Akina Tyson, wachezaji maarufu wa zamani akina Pogba, Adebayo nk wamelipwa hela nyingi eti wa influence washabiki wao wawafuate

🇮🇱 Hilo jinga jinga la ureno halijabadili ila linatumiwa kwenye propaganda

🇮🇱 Mwarabu siku zote chochote anachokifanya ni kufanikisha kueneza dini yake
We na Ronaldo nani jinga jinga..🤣
 
Acha uongo wewe dogo , saudia hakuna sheria hizo , watu wanakunywa hata duka la pombe limefunguliwa , acha porojo dogo [emoji14] 😛
Duka moja nchi nzima weee[emoji28][emoji28],Sema Saudi Arabia nchi ina chachuka kwa kasi kutokana na kutengeneza mazingira ya Kitalii..Nina Uhakika miaka ijayo Saudi itakuwa na miji ya kidini mfano Mecca na Madina halafu maeneo mengine ni ya kujiachia
 
Saudi kama Dubai tu labda angesema Qatar ...Saudia watu washoot mpaka matangazo ya pombe ...Wanahost mechi za boxing na mieleka kuna matangazo ya pombe .

Mleta mada anawaogopa waarabu , kuna wakristo wanaishi kule ...Kitu asichojua ni kwamba Vatican tu ndio hakuna waislamu ila saudia wakristo wake ...Labda aseme mji kama Meccah na Madinnah.
Acha Porojo mkuu , Leta Tangazo gani la Bia limeshutiwa Saudia ... kimsimamo wa kidini huwezi ifananisha Saudia na Dubai + Qatar labda hujawahi kukanyaga Dubai ... Waislamu wa Dubai ni OPEN MINDED kwa watalii wao [emoji1]
 
Duka moja nchi nzima weee[emoji28][emoji28],Sema Saudi Arabia nchi ina chachuka kwa kasi kutokana na kutengeneza mazingira ya Kitalii..Nina Uhakika miaka ijayo Saudi itakuwa na miji ya kidini mfano Mecca na Madina halafu maeneo mengine ni ya kujiachia
Saudia ni muunganiko Wa Nchi nyingi, sehemu ambayo ni takatifu kwa waisilamu ni Hejaz. Wakifanya upuuzi wao huko kwengine hakuna atakaewagusa ila wakipagusa hapo patachimbika

Ramani ya zamani kabla ya Saudia.
images (2).png
 
lakini amekimbilia nchi inayotumia nguvu nyingi kusambaza ushoga
 
Jamaa alicheza kama Pele, alimkimbia Ronaldo hakuna jengine, mana hana uhakika hata wa kufika goli ishirini wakati ROnaldo amepiga 50, angeadhirika sana
 
Hijja haijawahi kuingiza faida Saudia, wao wanatoa hela nyingi zaidi kama hufahamu. Huwezi ukakaa siku moja bila kutumia bidhaa inayomilikiwa na Saudia, hapo kwenyewe hio comment ume type na kifaa ambacho kinatumia technology inayomilikiwa na Saudia.
Wewe hija ni utajiri kwa Saud Arabia, wageni wote hawalali kwenye misikiti wanafikia hotelini, pia usafiri, vyakula na huduma nyingine , ndo maana Shia ikiongozwa na Iran inataka mji wa Macca uwe huru , usiwe chini ya Saud Arabia, wanatamani iwe kama Vatican city ndani ya nchi ya Italy, ambapo shekhe wa Macca anaweza kutoka nchi yoyote kama alivyo Papa.
 
Back
Top Bottom