Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Wozaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Uefa Messi ana mzidi Ronaldo magoli hadi sasaAhhahahahaahahahaha
Laliga mess
Uefa C.R
AKA THE MAGICIANMpira unadunda lakn mesi anadundisha! Mpira ni mchezo wa wazi lakn sio kwa style hii! [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Ah ah ah alaf cha ajab hawabeb kombe lolote,na ballon d or ijayo ya cr7
Messi kawanyoosha mkuu poleni zaojaman mbona Juzi ba Jive hatukusikia kauli hizo
he just had a gud game!!?
pole sana mkuu ndio kidume madevu kaamua..mimi raaha sana leo!
!
kaniharibia usingizi wangu bure tu huyu Messi khaaaaaaaa......nimeshangiliiiiia goli la James lakini walichotufanya baada ya hapo
Kakanyaga watu leo mpaka bassMESSI weka mbali na vibwengo ..
jamaa nmependaa ilo neno Messiah hahahaaa anyway nina furaha sanaa ata baadhi ya mashabiki wa madrid kukubali kuwa messi sio wa kawaidaSijawahi ona kitu chochote cha kunifanya nimlinganishe Ronaldo na Messiah of football.
ahsante leo katu nyoosha kweli aseeMessi kawanyoosha mkuu poleni zao
yaani leo kidogo nivunje ka screen kangu kwa kurukaruka pale kidume midevu alipowanyoosha wauza suraKumchukia Messi ni kujitakia maradhi yasiyo na tiba. Jamaa anajua mpk anaboa. Mamaeeeee....!!! Ametisha sn. He did it as usual.