Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana. Nadhani kwa kipigo hiki utakuwa mshabiki wetu wa upande wa jiranibos
am pissed kweli kweli, yaan hapa kama niko matanga
but ndio mpira huo
Marahaba kwa niaba yakeMesi Fagurson alishema sema si mchezaji wa sayari hii .Shikamoo messi
Madrid n Marcelo... Wala sio Ronaldo..ila Barcelona n messimkuu c r ni mtu wa kutengenezewa mazingira tuu amna kitu pale mess anajua kila kitu
Haikuwa offside. Ramos ambaye ndiye aliyeupata mpira alokuwa line moja na beki wa Barca. Wengine watatu wa madrid walikuwa mbele lakini hawakuupata.Vp goli la kwanza la R.Madrid? Haikuwa offside jaman? Wenye ujuz plz!!
[emoji12]ukizingatia Neymar hatacheza leo, maana yule ndo mpandisha timu..
hvyo Carvajal atapanda sana juu kuishambulia barca so leo R. madrid anaweza akashinda zaidi ya goal 3
Mkuu waliowatoa UEFA walifanya kitu sio cha kawaida kwenye defence,sijui kama timu zenu hizi za la liga zinaweza kumuiga Juve aina ile ya ukabaji.Bora yametolewa uefa!!
Ligi tunachukua na uefa pia tunachukua!! Nyie si mlipigwa tatu bila uefa mkatolewa??Marahaba kwa niaba yake
Sawa tulitolewa frahi sasa, lkn kutolewa kwetu uefa hakupunguzi machungu ya ninyi kufungwa jana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ligi tunachukua na uefa pia tunachukua!! Nyie si mlipigwa tatu bila uefa mkatolewa??
Hata ninyi mwaweza tolewa na ubingwa wa laliga msiupate hakuna timu inayoenda na matokeo uwanjaniLigi tunachukua na uefa pia tunachukua!! Nyie si mlipigwa tatu bila uefa mkatolewa??
Rudia kusoma ulichoandika.madrid kwa barcelona ni nyanya tu hasa wakiwa santiago
La liga ubingwa ni wetu! Uefa bado tupo na nyie mmetolewa kwa kupigwa tatu bila! Hiyo ni fact mkuu!!Hata ninyi mwaweza tolewa na ubingwa wa laliga msiupate hakuna timu inayoenda na matokeo uwanjani
Haya na jana mmeshinda, hiyo la liga wenzio tushaizoea maana inataka kuhamia kwetu kabisa ndio maana nyinyi mnahangaika nayo mna miaka kibao haja chukua!!! Lkn pia kutoka kwetu uefa haipunguzi machungu ya kuwafunga jana tena kwenuLa liga ubingwa ni wetu! Uefa bado tupo na nyie mmetolewa kwa kupigwa tatu bila! Hiyo ni fact mkuu!!
Kwekwekwekwekwee hahahaahaaaa jipe moyo!! Uefa tunabeba na laliga tuna inyakua!! Infact mmezoea kubebwa!!Haya na jana mmeshinda, hiyo la liga wenzio tushaizoea maana inataka kuhamia kwetu kabisa ndio maana nyinyi mnahangaika nayo mna miaka kibao haja chukua!!! Lkn pia kutoka kwetu uefa haipunguzi machungu ya kuwafunga jana tena kwenu