Messi apiga mbili Barcelona ikiizamisha madrid 3-2 bernabeu,

Messi apiga mbili Barcelona ikiizamisha madrid 3-2 bernabeu,

Kwekwekwekwekwee hahahaahaaaa jipe moyo!! Uefa tunabeba na laliga tuna inyakua!! Infact mmezoea kubebwa!!

Ivi ni timu gani imebeba uefa mara nyingi zaidi??
Kuongea bila data niprojo tu, pia inategemea na macho yako na akiri yako unaamini kitu gani
 
Niliichukia Real Madrid baada ya kuwatoa Bayern Munich kwa kubebwa hapo Bernabeu,na kiukweli nimefurahi kufungwa kwao na Barca ingawa sio mpenzi wa Barca.

Lakini kuna tofauti katika hivi vikosi,Madrid Wengi wa wachezaji wake ni Wazee na wameshachoka baada ya kufikia kilele cha mafanikio,Ronaldo hana njaa tena na ameridhika na mataji na mataji binafsi na record alizoweka au kuvunja na umri pia umeshamtupa mkono kimpira,mara nyingi wanashinda kutoka na Ujuzi binafsi na Uzoefu,hawana Mpira wa kutisha kama tulivyoizoea Real Madrid kwa misimu miwili mitatu iliyopita walipokuwa kwenye peak,then bado Zidane ana mbinu za kizamani katika ufundishaji wake,mifumo ya miaka ya 2000's ya Uingereza,Timu yake haina radha ya Mpira magoli mengi ni ya either kuvizia or counter attack,ndio mana Perezi pamoja na kushinda Kombe la UEFA bado hajaridhishwa na kiwango cha Zizou katika ufundishaji,Zidane sio muumini wa wachezaji Wenye Vipaji ndio mana unaona Mtu kama Hames Rodriguez akiwa banch au Morrata huku Benzema akipata nafasi kwenye kikosi chake.

Kwa Upande wa Barcelona,nayo now wanajijenga upya baada ya kuanguka katika msimu ya hivi karibuni,baada ya kuondoka Pep Gurdiola Barcelona ilipoteza ufalme wake bara ni Ulaya,wachezaji wengi waliokuzwa pale wameuzwa au kumfata Pep mfano Pedro,Alcantra n.k,so timu imekosa warithi wa Xavi,Iniesta,Mess,hivyo sasa kutegemea Zaidi Miujiza ya Mesi kama alivyofanya jana.

Hawa Watu watatu Xavi,Iniesta na Mess peke yao walikuwa na uwezo wa kupiga pasi si chini ya 600 per game.

Game na Man united pale Wembley walipiga pasi Zaidi ya 1000 huku Xav peke yake akipiga pasi si chini ya 400,utaona hiyo kasi,nguvu na skills hadi Fegurson akatetemeka, hakuamini kilichokuwa kinafanyika uwanjani utafikiri Play station.

Mess akienda ukingoni mzigo mkubwa unahamia kwa Neymar,na ndio mana nao sasa wanaingia sokoni kutafuta wachezaji badala la kutegemea la Masia kuziba nafasi za wakongwe na kurudisha soka lao la pasi nyingi.

Kiwango cha jana cha Mess ni hasira baada ya kushindwa kuperform kwenye game ya Juve na alijuwa udhaifu wa timu yake na Mzigo alioubeba.

Sitoshangaa kuja kwa Coutihno pale Barca,Griezman au hata Hazard kama watakuwa na mfuko mrefu.
umeongea kama nilivyokua natafakari mkuu. kusema kweli real madrid BBC imeshachoka sana ila zidane inaonekana si mpenda mabadiliko
 
Sergio Ramos kutolewa nje kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja kwa kosa la kumkwatua Lionel Messi aliyekuwa mwiba mkali
Hhahahahahaha Ulivoandikaa hii sentensi daah kwa wasiompenda Messi Na Barca Hii post hawatopenda KUISOMA wala kuiona humu JF
 
Hhahahahahaha Ulivoandikaa hii sentensi daah kwa wasiompenda Messi Na Barca Hii post hawatopenda KUISOMA wala kuiona humu JF
tumewaachia mtufunge ili mpate kujifariji na majonzi ya kutolewa UCL. si unajua tena si watani wa jadi.
 
Madrid n Marcelo... Wala sio Ronaldo..ila Barcelona n messi
Marcelo daaaa,alifanya kazi hadi unaona jamaa ni mzuri. Uzuri wa mchezaji ni kazi anazofanya awapo uwanjani
Marcelo was man of the match on Madrid Side!
 
Marcelo daaaa,alifanya kazi hadi unaona jamaa ni mzuri. Uzuri wa mchezaji ni kazi anazofanya awapo uwanjani
Marcelo was man of the match on Madrid Side!
Marcelo in real madrid's greatest asset, yule mbrazil muacheni tu kwa kweli, sema akina ronaldo na benzema ndo wanamuangusha, anawatengezea nzuri ila wanaharibu.
 
Niliichukia Real Madrid baada ya kuwatoa Bayern Munich kwa kubebwa hapo Bernabeu,na kiukweli nimefurahi kufungwa kwao na Barca ingawa sio mpenzi wa Barca.

Lakini kuna tofauti katika hivi vikosi,Madrid Wengi wa wachezaji wake ni Wazee na wameshachoka baada ya kufikia kilele cha mafanikio,Ronaldo hana njaa tena na ameridhika na mataji na mataji binafsi na record alizoweka au kuvunja na umri pia umeshamtupa mkono kimpira,mara nyingi wanashinda kutoka na Ujuzi binafsi na Uzoefu,hawana Mpira wa kutisha kama tulivyoizoea Real Madrid kwa misimu miwili mitatu iliyopita walipokuwa kwenye peak,then bado Zidane ana mbinu za kizamani katika ufundishaji wake,mifumo ya miaka ya 2000's ya Uingereza,Timu yake haina radha ya Mpira magoli mengi ni ya either kuvizia or counter attack,ndio mana Perezi pamoja na kushinda Kombe la UEFA bado hajaridhishwa na kiwango cha Zizou katika ufundishaji,Zidane sio muumini wa wachezaji Wenye Vipaji ndio mana unaona Mtu kama Hames Rodriguez akiwa banch au Morrata huku Benzema akipata nafasi kwenye kikosi chake.

Kwa Upande wa Barcelona,nayo now wanajijenga upya baada ya kuanguka katika msimu ya hivi karibuni,baada ya kuondoka Pep Gurdiola Barcelona ilipoteza ufalme wake bara ni Ulaya,wachezaji wengi waliokuzwa pale wameuzwa au kumfata Pep mfano Pedro,Alcantra n.k,so timu imekosa warithi wa Xavi,Iniesta,Mess,hivyo sasa kutegemea Zaidi Miujiza ya Mesi kama alivyofanya jana.

Hawa Watu watatu Xavi,Iniesta na Mess peke yao walikuwa na uwezo wa kupiga pasi si chini ya 600 per game.

Game na Man united pale Wembley walipiga pasi Zaidi ya 1000 huku Xav peke yake akipiga pasi si chini ya 400,utaona hiyo kasi,nguvu na skills hadi Fegurson akatetemeka, hakuamini kilichokuwa kinafanyika uwanjani utafikiri Play station.

Mess akienda ukingoni mzigo mkubwa unahamia kwa Neymar,na ndio mana nao sasa wanaingia sokoni kutafuta wachezaji badala la kutegemea la Masia kuziba nafasi za wakongwe na kurudisha soka lao la pasi nyingi.

Kiwango cha jana cha Mess ni hasira baada ya kushindwa kuperform kwenye game ya Juve na alijuwa udhaifu wa timu yake na Mzigo alioubeba.

Sitoshangaa kuja kwa Coutihno pale Barca,Griezman au hata Hazard kama watakuwa na mfuko mrefu.
Duuuu,hao uliowataja wakienda Barca watakua vizuri. Vipi pamoja na kutumia kumiliki mpira kama kinga ya mabeki kwa Barca,lakini succession plan inatakiwa kufanywa ili wale watu umri unaenda kama baba Shakira na Bousquet.
 
Duuuu,hao uliowataja wakienda Barca watakua vizuri. Vipi pamoja na kutumia kumiliki mpira kama kinga ya mabeki kwa Barca,lakini succession plan inatakiwa kufanywa ili wale watu umri unaenda kama baba Shakira na Bousquet.
Busquet bado sana...baba Shakira pia bado sana...ila mascherano,Mathew,Suarez na Iniesta umr umewatupa kwelkwel

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
Marcelo daaaa,alifanya kazi hadi unaona jamaa ni mzuri. Uzuri wa mchezaji ni kazi anazofanya awapo uwanjani
Marcelo was man of the match on Madrid Side!
Huyu jamaa game zote za Madrid acpokuwepo Madrid wanakua Hoi..hata ushind wenyewe unakua n wa kusua Sua..mech zote mbil za bayern munich, pia ya lig last weekend, halafu hata last season...jaribu kumfuatilia huyu jamaa..tangu misim miwil iliyopta moto wake haupungui...

Sent from my E2303 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom