Messi apiga mbili Barcelona ikiizamisha madrid 3-2 bernabeu,

!
!
kaniharibia usingizi wangu bure tu huyu Messi khaaaaaaaa......nimeshangiliiiiia goli la James lakini walichotufanya baada ya hapo
 
jaman mbona Juzi na Jive hatukusikia kauli hizo

he just had a gud game!
 
Kura yangu nimeiweka Barca. Najua mapacha 3 huwa hawafanyi makosa, japo nimesikia kuwa leo Naymar hayupo....
Naombeni matokeo mechi ikiisha, niko mahali ambapo siwezi kuangalia mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…