Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,498
- 13,138
Robo fainali ndo kituo chao cha mwishoWapumbavu hao Barca wanabebwa bebwa tu
Wanakera sana,ile penati waliyopewa iliwavunja nguvu kabisa wafaransaRobo fainali ndo kituo chao cha mwisho
Na nyie bebweni tu ngoma iwe drooWapumbavu hao Barca wanabebwa bebwa tu
Hatutaki ushindi wa mezanNa nyie bebweni tu ngoma iwe droo
Mi napenda mpira mzuri sipendi ujinga kama wa BarcelonaNa nyie bebweni tu ngoma iwe droo
Wanakera sana,ile penati waliyopewa iliwavunja nguvu kabisa wafaransa
Goal.com au hujaona hiyo screen shot mkuu
Goal.com au hujaona hiyo screen shot mkuu
ππ hapana ubize afu muda mchacheLugha tatizo[emoji2][emoji2]
wakati mjadala wa nani mkali kati ya Leonel Messi na Cristiano Ronaldo ukiendelea Messi ameibuka na kumpa big up mpinzani wake akidai kuwa aliamini Atletico walikuwa na nafasi ya kufanya vyema kwa kuwa walikuwa na advantage ya goki mbili.Messi alienda mbali akimsifia Ronaldo huku akisema Ronaldo si mtu wa kawaida.View attachment 1045369View attachment 1045369View attachment 1045369View attachment 1045366
Kuweni na akili za kikubwa basi kamanda πππ kwahiyo kusema kwake messi hivyo ndio imekuwa ronaldo ni mkali more than King!!!!
Tumuulize hii michezo ya kinafiki kaanza liniπMessi sijui anataka kutupa ujumbe gani maana anayoyafanya ronaldo yeye anayafanya kila siku tena zaidi ya hapo, nahisi messi ni mnafiki