Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,498
- 13,138
wakati mjadala wa nani mkali kati ya Leonel Messi na Cristiano Ronaldo ukiendelea Messi ameibuka na kumpa big up mpinzani wake akidai kuwa aliamini Atletico walikuwa na nafasi ya kufanya vyema kwa kuwa walikuwa na advantage ya goki mbili.Messi alienda mbali akimsifia Ronaldo huku akisema Ronaldo si mtu wa kawaida.
