George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Kwangu mimi huyo bishololo Ronaldo na mwenzake Messi hawagusi kabisa kwenye level za Pele,japo mimi ni mtoto wa miaka ya 1990's lakini video fupi fupi za Pele nilizofanikiwa kuziona zinanifanya nione kuwa hakuna mwanasoka yeyote kati ya hawa mnaowalinganisha anatosha kumfananisha na Pele..!Hahaha kwa hiyo list huwa inaishia hapo hapo kwenye namba 1...najua una ufahamu wa kutosha acha kujitia ushabiki mbele ya fact. ..
Kwangu mimi huyo bishololo Ronaldo na mwenzake Messi hawagusi kabisa kwenye level za Pele,hapo ni mtoto wa miaka ya 1990's lakini video fupi fupi nilizofanikiwa kuziona zinanifanya nione kuwa hakuna mwanasoka yeyote kati ya hawa mnaowalinganisha anatosha kumfananisha na Pele..!
Lakini mwisho wa siku hizi mambo za who is the real GOAT huwa zinagubikwa na ushabiki na upenzi plus connection..!
Yeah...Haya ni maoni yako mkuu. ..--kwangu mimi Messi hana mfanowe. .tangu mpira wa miguu utanbulike na kufanywa kuwa ajira rasmi duniani
Yeah...
Upo sahihi sana mkuu..!
Personal opinion..!
Ndio maana hizi ishu za who's the GOAT huwa naziona ni za kujifurahisha na kupoteza muda..!
Kwasababu kila mtu huwa anajaribu kufanya maoni yake binafsi yawe facts..!
Kwenye wasanii simuoni Eminem mkuu..!But hilo Suala la kubatizwa Jina la GOAT. ..kwa Messi Pele na Maradona. .limefanywa na wakubwa wenyewe wanao toka Katika tasnia ya mpira wa miguu na kwa namna 1 au zaidi wapo sahihi. ..
Messi
Pele
Maradona ni THE GOAT'S
Wanaishi nyumba 1
Na Wana michezo/wasanii wenzao wa wakati wote
Michael Jordan
Mohammed alli
Michael Jackson
Jay -z
2pac
Bob Marley
And the likes. ...tufike mahala tuwe tunaacha kuwa na chuki kwa watu ambao wamefanikiwa zaidi katika career zao
Kwenye wasanii simuoni Eminem mkuu..!
Vipi..?
nakukubali sana mkuuHaya ni maoni yako mkuu. ..--kwangu mimi Messi hana mfanowe. .tangu mpira wa miguu utanbulike na kufanywa kuwa ajira rasmi duniani
Write your reply...
ile team nahisi ina laana
watakuja kuniua kwa presha wale mbwa kila kitu afanye messi tu, na yanajua hata yakifungwa atalaumiwa messi
Kuifanyia nini ukiwa na maana gani,
Au swali lako ulitaka liwe ameshinda kombe lipi na national team ???
Tutajie hiyo moja aliyoichukuaAmechukua 1..Kati ya hizo 4.. bado anaendelea kucheza mpira lolote laweza kutokea. ..Pia Suala la kufikia finaly sio Suala dogo ni sehemu 1 wapo ya mafanikio makubwa kwa mwana michezo
Jibu swali messi ameisaidia timu gani nyingine kuchukua kombe nje ya Barcelona?Kwanza huyu jamaa yao wanao jaribu kumfananisha na Messi akikutana na Messi uwanjani anatia huruma kuna muda unamuona anarusha mikono kwa kususa akiwahimiza wenzie wamkabe Messi wakati yeye anamwangalia Tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Refer Game zote Penaldo alivyo kutana na Messi nyingi anatoka uwanjani na kwenda kumeza Hedex au Diclopar
Daaah! inasikitisha sanaKitendo cha Messi kufanya vizuri Barcelona pekee kunamfanya akose heshima fulan hivi ambayo anastahili. Ndo mchezaji pekee mkubwa ambaye hajawahi kuchukua kombe nje ya Barcelona
Muongo wewe kama ni mizigo ni wote na yeye akiwemoTeam imejaza wachezaji. .wasiojituma. .Messi huwa ana jitahidi sana kuwa beba lakini hawa bebeki
kwani wakishinda huwa anapongezwa nani?Write your reply...
ile team nahisi ina laana
watakuja kuniua kwa presha wale mbwa kila kitu afanye messi tu, na yanajua hata yakifungwa atalaumiwa messi
Hayasemwi kwasababu wenzio wanabeba makombe na senior team sio u-20 kama unavyotueleza weweSio fainal tu! 2005 akiwa na jezi ya nchi yake alichukua u-20 world cup, 2008 akiwa na jezi ya nchi akachua Olympic. Sijui kwa nn hayo hayasemwi.