Hater will always keep on bitchingKwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.
Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?
Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?
Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.
Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.
N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
Kaliwe basiMada inayozungumziwa ni most overrated footboller ever ambaye ni messi na mimi nikataja baadhi ya mambo yanayodhihirishwa kukuzwa kwake ambako ni tofauti na uhalisia ulivyo. NB: SIO KILA MTU ANAETOA MAWAZO HASI KUHUSU MESSI ANAMPENDA PENALDO.
Messi is the GOATHawa fifa wamjaribu sana kumbeba messi ila jamaa jana hakustaili!!! Mbappe jana ndo alikuwa man of the match
Unaweza vipi kukipuuza kipaji maridhawa kisicho na shaka hata chembe kama Cha messi.Hawa fifa wamjaribu sana kumbeba messi ila jamaa jana hakustaili!!! Mbappe jana ndo alikuwa man of the match
Kwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.
Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?
Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?
Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.
Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.
N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
ukiona mtu anatukana jua ameishiwa hoja.Kaliwe basi
Ili ubebwe sharti uwe na kitu cha ziada umefanya zaidi ya wengine , hata mtaani kwenu huwezi kuonekana wa thamani sana kama huna jambo la maana ambalo umefanyaKwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.
Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?
Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?
Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.
Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.
N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
Siku nyingine uwe unatafuta vitu mwenyewe sio kila kitu hadi wachambuzi wa wasafi wakwambie, ona sasa walivyokupeleka chaka.Tuoneshe source ya ujinga unao usema
Fact iyoSiku nyingine uwe unatafuta vitu mwenyewe sio kila kitu hadi wachambuzi wa wasafi wakwambie, ona sasa walivyokupeleka chaka.
View attachment 2451822
kuna kitu kinaitwa stastistics, tupe stats za kufananisha mbape na messi kwenye fina na kwenye michuano yote, nkukumbushe stats sio magoli tu, ni overall contribution ya mchezaji kwenye game. Kwa namba za messi kusema anabebwa sijui overated ni uchawi na wivu mkubwa, tunaweza kusema messi anasifiwa sana hasa kwenye world cup hii japo amechangia mafanikio ya timu ila hajapambana pekeake hvyo wasifiwe wote akiwem kipa wao, lakini messi anastahilli kila tuzo aliyoshinda by numbers
Ili ubebwe sharti uwe na kitu cha ziada umefanya zaidi ya wengine , hata mtaani kwenu huwezi kuonekana wa thamani sana kama huna jambo la maana ambalo umefanya
Linapokuja suala la mchezaji bora, ni vigezo vingi vinaangaliwa, sio idadi ya magoli peke yake. Ndio maana wakaweka tuzo ya mfungaji bora, na tuzo ya mchezaji bora.
Wanaosema Messi hakustahili tuzo ya mchezaji bora, ni watu wachache ambao wameumizwa na ushindi wa Argentina hapo jana.
Angalia hizi takwimu za Messi, alafu ulete takwimu za mchezaji wako unaedhani alitakiwa kupewa tuzo ya mchezaji bora ili tulinganishe!
Leonel Andres Messi "Cuccittini"
- Goals 7 : second
- Assists 3 : first
- Total shots 32 : first
- Shots on target 18 : first
- Chances created 21 : second
- Dribbles completed 15 : third
- Duels won 44 : third
- Touches in opposition box 45 : second
- Passes played into the box 39: second
Ukiwa sio mtu wa mpira, hauwezi kujua mchango wa mchezaji tofauti na magoli anayofunga. Ila watu wa mpira wanajua, kuna mengi yanafanyika uwanjani yanayoweza kuamua ubora wa mchezaji, na sio magoli pekee!
Namba hazidanganyi. Leta takwimu za mchezaji wako unaedhani alitakiwa kupewa tuzo ya mchezaji bora ili tulinganishe!
Messi jana kacheza dk zote 120, mbape kacheza dk 40 tu, dk ya kwanza mpaka 79 watu walimuweka mfukoni.Sio jana tu mkuu, hiyo ndiyo imekua story kwa miaka mingi sasa. Mbappe Kaupiga mwingi sana na alistahili tunzo ya Uchezaji bora kabisa.
i agree with you 100%Mbappe jana ndie alikua Best Player in the field tena by miles kabisa.
SawaHakunaga mtu anachukua uchazi bora toka team iliyofungwa
Kuna sehemu nimetaja zawadi?Jana uliona MOTM anapewa zawadi?
Unaweza vipi kukipuuza kipaji maridhawa kisicho na shaka hata chembe kama Cha messi.
Sikia wew ile tunzo sio ya mchezaj bora wa mechi bali mashindano kuanzia siku ya kwanza kuanzaKwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.
Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?
Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?
Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.
Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.
N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)