Messi Vs Pele

Sasa jioni messi akivyokuwa anapigwa viatu na kina ramos pepe ila anawatoboa tu

Messi hakuna mfano
Moses Phiri kwenye game ya juzi hukumuona akipigwa viatu tena ndani ya box ambapo ilipaswa kuamliwa penati lakini refa akapeta?

Kwa hiyo Moses Phiri naye anapaswa kuwa regarded kama GOAT?
 
Messi ni mchezaji kama wengine tu

Thanks to Pele kidogo tunapumua 😂😂😂😂
Ni mchezaji wa kawaida sana huwa nashangaa watu wanavyompuliza

Sometimes najiuliza, hivi hawa watu wanaompa sifa Messi wanaangalia game hii hii nayoangalia mimi au huko ni tofauti??
 
Hapo unaongea peke yako ndugu yangu labda uweke tu kama elimu kwa faida ya wasomaji wengine
 
Watoto wa miaka ya 90 na 2000 mnaukosea heshima mpira. MESSI HUWEZI MLINGANISHA NA PELE WALA MARADONA. ACHENI KUUKOSEA MPIRA. ACHENI KABISA. PELE ANGECHEZA MPIRA MIAKA HII SIJUI INGEKUAJE. PELE KACHEZA MPIRA WAKATI MPIRA ULIKUWA MPIRA KWELI... UNA RAFU MBAYA SANA ZA KIBABE. NYIE ACHENI KABISA. MTUOMBE RADHI SISI WAKUBWA ZENU.
 
Team Ronaldo mmechanganyikiwa kwakweli View attachment 2459081
View attachment 2459082
Hivi unajua maana ya Ratio ?

Nenda kaangalie tena huko Spain alafu urudi hapa tuendelee

Ratio maana yake ni games played na magoli uliyofunga; huwezi kulinganisha mtu mwenye mechi tatu na bao moja na mtu mwenye mechi elfu moja na bao hamsini, tunatafuta ratio....

Ukimaliza kuona utaona kwamba Messi haongozi kwa ratio
 
Bora wewe umesema kuna vinabo humu ni vibishi afu vitata sana
 
Dribling ya Messi si ya sayari hii

Pele alikuwa hana uwezo wa kupiga chenga kumi mfululizo!
Una uhakika?

Unayoyaona leo kuhusu Pele ni machache sana kuna mambo mengi makubwa ameyafanya yamebaki tu kuwa historia kwa watu waliokuwa wanashuhudia
 
Messi ni mchezaji ambaye anawekwa kwenye madaraja ya kina CR7 na wengineyo

Kumfananisha na Pele hiyo ni dharau
 
Macho yenyewe ya kuonea hiyo signature anayo??
 
Ilikuwa inashirikisha timu ngapi maana naona za Ulaya mbili na moja ya America kusini.Huu utakuwa uongo bila shaka
 
Bora kaka komeo useme wewe maana enzi zile hawakuepo hawa vijana ila wabishi kweli.
 
Kwani umesahau kwamba kuna timu Messi mwenzako alikuja na mjadala wa Mbappe na Messi humu?

Hukufatilia stats zilizowekwa zinazoonesha kayika umri wa miaka 23 nani alikuwa anaonekana kuwa perfomance kubwa kumzidi mwanzake??

Hufatilii huu mjadala na hujabaini kwamba hata diehard fans wenzako wa Messi wanakubali kuwa Pele is far better than dwarf??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…