Unajua Balon d'Or inavyopatikana ?Pele Hana Balon d'Or hata Moja
Jamani tuache uvivu ili mjadala uende vema fanya hata research ya sekunde chache mbona information zipo tu, unaongelea ulaya ?!! Hivi unajua kipindi hicho ma-stars duniani walikuwa wanacheza kwao..., sasa kama Brazil ilikuwa ni kinara alafu wachezaji hao wanachezea Brazil alafu ligi ya Brazil iwe mchangani ?!!!!Tunaangalia main key kwenye hvyo vikombe husika, sasa tukihesabu hayo magoli kuna ligi za mchangani watu Wana magoli kibao , kuna makombe na vikombe, makombe aliyobeba Pele ya maana ni world cup tuuu , na hajawahi cheza kwenye ligi shindani ulaya ,Messi kabeba makombe yote shindani tena akiwa mchezaji tegemewa , narudia tena makombe yoteeee...na bado anaendelea kuyanyanyua mana hajastaaaf , usipomkubali kama mchezaji Bora kuwahi kutokea kuliko wote basi wajukuu zako watamkubali .....
Tuzo alizobeba Messi , Pele hata nusu hafiki , Pele Hana hata Balon d'Or Moja , Messi anazo Saba na anaenda beba ya nane ..... Tuache unafiki na data za mchongo .... Baada ya hyo ndoo kupelekwa kabatini , mjadala ulifungwa rasmi Nani ni Real 🐐
| First leg | |
|---|---|
| Date | 24 June 1969 |
| Venue | San Siro, Milan |
| Referee | José Ortiz de Mendibil (Spain) |
| Attendance | 44,774 |
| Date | (Not played) |
Fatilia History of Ballon d,Or namna zilivyo aza utakuja kufuta uliochoandikaPele Hana Balon d'Or hata Moja
We jamaa maradona alishinda Ballon d,Or mwaka Gani ivi unaijua kweli History ya Ballon d,Or ilivyo na unajua Sheria ambazo zilikua zinatumika kutoa hizo Tuzo miaka hiyo Futa madudu uliyoandikaWote wana world cup, wawili wamecheza ulaya na pia wana Ballon d'Or na mazagazaga.. vile vile wamechezea timu kubwa na haswaa wakiwa ndio tegemezi na kuzisaidia timu hizo kunyanyua ubingwa...
Mbali na world cup, hebu niambie huyo babu alichowazidi Messi na Maradona!
Na according to hao waandishi na Kura zao wakali wa mwaka huu hata Qatar walikuwa hawapo (Utaona kabisa ukiwa kichwa ngumu na una-rub people the wrong way usishangae ukapata Kura moja ya mwandishi wa mtaani kwako...We jamaa maradona alishinda Ballon d,Or mwaka Gani ivi unaijua kweli History ya Ballon d,Or ilivyo na unajua Sheria ambazo zilikua zinatumika kutoa hizo Tuzo miaka hiyo Futa madudu uliyoandika
| Player | Votes |
| Karim Benzema | 549 |
| Sadio Mane | 193 |
| Kevin De Bruyne | 175 |
| Robert Lewandowski | 170 |
| Mohamed Salah | 116 |
| Kylian Mbappe | 85 |
| Thibaut Courtois | 82 |
| Vinicius Junior | 61 |
| Luka Modric | 20 |
| Erling Haaland | 18 |
Messi hajashinda kombe hili tena kwa kupiga goli?Jamani tuache uvivu ili mjadala uende vema fanya hata research ya sekunde chache mbona information zipo tu, unaongelea ulaya ?!! Hivi unajua kipindi hicho ma-stars duniani walikuwa wanacheza kwao..., sasa kama Brazil ilikuwa ni kinara alafu wachezaji hao wanachezea Brazil alafu ligi ya Brazil iwe mchangani ?!!!!
Anyway tuseme upo sawa hivi unajua hii timu ya mchangaji kulikuwa na Kombe la bara la ulaya na America Intercontinental Cup ambaye huyu Pele na timu yake ya mchangani walishinda mara mbili kwa kufunga hizo timu za ulaya...
Hivi unajua kulikuwa na Kombe la Intercontinental Super Cup ambalo pia Pele alishinda...
1968 Intercontinental Supercup
From Wikipedia, the free encyclopedia
The 1968 Intercontinental Supercup was the first edition of the Intercontinental Supercup, a matchup between the European and South American past winners of the Intercontinental Cup. The two-legged tie was contested between Italian club Internazionale and Brazilian club Santos. The first match-up between Internazionale and Santos ended with the Santásticos beating Inter 1-0 at Milan's San Siro.
First leg Date 24 June 1969 Venue San Siro, Milan Referee José Ortiz de Mendibil (Spain) Attendance 44,774 Date (Not played)
Yaani hili kombe lilikuwa kama tuseme washindi wote wa champions league zilizopita wakutane ili kuona nani ni Baba la Mababa..., Real Madrid akakata Kona..., Inter Milan akapigwa kwao mechi ya Pili marudiano akakata Kona Santos akachukua Kombe kama kawaida figisu za Ulaya Kombe likafa kifo cha kawaida
Kashinda Kombe ambalo halipo ? - Kweli Messi ni Mchawi....Messi hajashinda kombe hili tena kwa kupiga goli?
Na huo ndio upenzi wa kandanda ku-appreciate Skills za kila mmoja na ku-enjoy sio watu wanatunga issue na kutafuta stats za hapa na pale ili mradi kubisha (kwa kushusha umahili wa wengine)Mimi mwenyewe ni shabiki wa messi ila Pele ndo GOAT, Mtake Msitake ndo hivoo.
Kabisa yaani Haalaand na Mbappe kwa umri wao tu tayari wanafanya mambo makubwa in terms of Starts Compared na Messi na Ronaldo ila haiwezi kujustify kuwa Haaland na Mbappe ni bora kuliko messi na ronaldo, Hivo hivo kwa messi na pele, We need to pay some respect to him just imagine kuna vizazi vingapi vya Dhahabu vimepita hapa kati (Akina Garrincha, Maradona, Alfredo di stefano, george best, Michelle platini,Eusebie, De lima, Zidane,Dinho) but wote hao wamepita na watu wamekubali kuwa pele ndio bora. Watu waache ubishi eti kisa wamemuona messi akicheza football basi ndio bora kuliko Pele ambaye hawakumuona.Na huo ndio upenzi wa kandanda ku-appreciate Skills za kila mmoja na ku-enjoy sio watu wanatunga issue na kutafuta stats za hapa na pale ili mradi kubisha (kwa kushusha umahili wa wengine)
Tena ninawaambia hawa jamaa unless sheria zibadilike na kuwa ngumu tena kuna freak of nature Halaand atatupia mpira nyavuni mpaka soka la sasa lionekane kama netball
Mtake msitakeMessi ndo G o a t
So mnaweza kuandamana
Sio kweli Pele anazo saba.Pele Hana Balon d'Or hata Moja
Kwa hiyo Simba ikiifunga Al Ahly maana yake ligi ya Tanzania ni bora kuliko ya Misri?Kashinda Kombe ambalo halipo ? - Kweli Messi ni Mchawi....
Hayo majibu nimetoa kwa wale wanaosema Brazil ligi ilikuwa ya mchangani nikawajibu kwamba kulikuwa na Kombe la Ulaya na South America ambapo vilabu vinara vya ulaya vilikalishwa na so called Team ya Mchangani na Pele akiwepo..., Sasa Argument ya Ligi kubwa inakufa kifo cha kawaida...
Kipindi kile mastaa wote wanachezea kwao sio kipindi hiki watu kwenda kutafuta faranga na unakuta ligi timu moja ndio kali na nyingine ni vibonde kutokana na utofauti wa utajiri....
Kwahio unaweza kumchezesha Messi kama target man ?, Hivi wewe kama kocha na ukaambiwa uchague mchezaji mmoja kiraka utamchagua Messi au Zidanne (na kabla haujawaza sana kumbuka Zizzu ni Midfilder)Messi ukimtaka kama striker, forward, winger, playmaker anakupa vyote hivyo.
Anaweza kubadilisha mchezo, anafunga, anatoa pass zenye macho assist nyoofu.
Nimemuona Messi tangu akiwa kinda enzi za rijkaard hadi Leo akifikia ukingoni mwa career yake .
He is the best acha kizazi Cha Pele waamue wanavyoona wao.
Kwa nini hawakusema Ronaldinho na Zidane ni bora kuliko Pele?Kabisa yaani Haalaand na Mbappe kwa umri wao tu tayari wanafanya mambo makubwa in terms of Starts Compared na Messi na Ronaldo ila haiwezi kujustify kuwa Haaland na Mbappe ni bora kuliko messi na ronaldo, Hivo hivo kwa messi na pele, We need to pay some respect to him just imagine kuna vizazi vingapi vya Dhahabu vimepita hapa kati (Akina Garrincha, Maradona, Alfredo di stefano, george best, Michelle platini,Eusebie, De lima, Zidane,Dinho) but wote hao wamepita na watu wamekubali kuwa pele ndio bora. Watu waache ubishi eti kisa wamemuona messi akicheza football basi ndio bora kuliko Pele ambaye hawakumuona.
[emoji23][emoji23][emoji23] alicheza namba zote sio? Sasa tupe statistics zake kwa kila idara aliyocheza.Kwahio unaweza kumchezesha Messi kama target man ?, Hivi wewe kama kocha na ukaambiwa uchague mchezaji mmoja kiraka utamchagua Messi au Zidanne (na kabla haujawaza sana kumbuka Zizzu ni Midfilder)
Unajua Pele alikuwa hadi anadaka ?!!!
“Although I’m not that tall,” Pele wrote in his 2006 autobiography, “I was always a good goalkeeper because of my leap. Both with Santos and the [Brazilian] national team, I was always the reserve goalkeeper. I played four times in goal for the club and just once, in a friendly, for Brazil.”
Enzi na wao wako peak walishafanya hiyo mijadala kijana wanguKwa nini hawakusema Ronaldinho na Zidane ni bora kuliko Pele?
Jiulize ujijibu
Eti mpira wa zamani haukuwa na kuotea, wewe kweli unajua unachoongea au unaleta tu hadithi za vijiweni, hata hujui sheria ya kuotea ilianza mwaka gani.Messi ni mchezaji bora kuliko wote hata pele mwenyewe
Pele alikuwa bora kwenye ufungaji tu tena mpira wa zamani haukuwa na offside
Messi anavyo vyote