Messi Vs Pele

Messi Vs Pele

We jamaa una matatizo kweli unajibiwa vizuri tena Kwa evidence unaleta mambo ambayo hayaeleweki kweny maelezo ya jamaa kitu Gani hujaelewa umeulza amefanya kitu Pele amefanya ila Messi hajafanya unapewa majibu ya maswali Yako bado unagwaya wew sio mtu wa mpira achana na mpira kafundishe vitenzi wanafunzi wako
Afadhali wewe umeona Mkuu....

Hapa naona nitakesha yaani ni kama tunashindana ni nani anatoa post nyingi majibu unayotoa yaani kama watu hawaoni kule juu nimeweka kwamba sio kweli zamani kulikuwa hakuna offside ila unakuta post ya 30 mtu anarudia yaleyale; hapa bora kwanza nikafanye mengine takuja baada ya siku kadhaa na kuanza kujibu majibu ya jumla jumla...

Yaani ni bora watu wanaobishania vitu subjective na kila mtu anaweka point yake... ila huku mtu anabisha kabisa kwamba nyeusi ni nyeupe.... ukimwambia kwanini ni nyeusi anaenda kwenye mambo mengine ili mradi basi tu tunapotezeana muda
 
Ubora wa mchezaji unapimwa kwa social media ? unadhani hii ni Big Brother ? Leta dissections ya vitu sio nani ana wapenzi wengi ? Mambo gani yamefanyika na wakati gani....

Soma post ya mwanzo Maradona Messi wanaweza kutumika kama playmaker tengeneza teams around them ila tukija kwenye playmaker tamchukua Andre Pirlo Maestro... tukija kwenye clinical finishers Messi anaachwa mbali, dribbling Pele hakuwa nyuma ila kuna kina garrincha huenda angecheza kama winger angepiga chenga Pele was a complete athlete ambaye walishasema ange-excel kwenye any sport ambayo angefanya...., Na chenga za leo haupigwi buti huwezi linganisha na Chenga kipindi cha kupigwa ndaruga na refa anapeta..., Mpira umekuwa ukibadilika na kuwa a non contact sport...

Siongeli vitu kwa mapenzi ya mtu naongelea vitu kama mpenda kandanda na mfuatiliaji wa mambo na sio nani ana followers wengi au nikupe votting inayompa Ruud Gullit kwamba ndio the Best Player ?
Samahani naomba uniambie , Je,zama za Pele kucheza walikuwa wanaingia uwanjani wanacheza tu filimbi ilipigwa mpira ukitoka nje ya field of play tu na wakati wa kuanzisha na kumaliza mechi? Maana unajaribu kutuaminisha kwamba Pele alikuwa anacgezewa rafu refa anapeta ina maana unataka kutuaminisha wakati wa pele mtu akichezewa rafu hapakuwa na hatua yoyote inayochukuliwa.
 
Wanaoongelea mpira sababu ya social media waache waendelee kuongea ukisoma post yangu ya mwanzo kabisa nimesema football is a game of opinions na hilo sikatai mimi ukiniambia wachezaji wakali duniani naweza kumtaja Andre Pirlo, the guy has footballing brain..., wala sitashangaa watu wanaopenda entertainers, au waliompenda OCD kutokana na uchezaji wake wa akili au Samli Ayoub kutokana na Ustaarabu wake wakati ni beki..., its all about Opinions wala haikatazwi.... Na wakati watu walikuwa wanaangalia Galacticos kina Zidanne na Roberto Carlos mimi nilikuwa naangalia umuhimu wa Makelele bila yeye timu inakosa balance wakati wengine wanafanya fancy stuff yeye anaprovide safety...

Kama unafuata mchezaji bora kwa kura kama za urais hio ni prerogative yenu, lazima kizazi ambacho kipo current kichagua mtu ambaye yupo current sababu ndio wamemuona na kukua nae; ila footballing people tunakwenda deep..., Sasa baada ya kuja Kwamba Messi ni bora kwa miaka yote ndio likaja swali Pele vipi ? Ooh Pele kipindi kile kulikuwa hakuna sheria, mara kulikuwa offside (hizi zote ni story za kwenye Gahawa..., Na mimi kama mpenzi wa soka ninasaidia kuchambua makapi kwenye ukweli hayo mengine ya mapenzi ya fulani au nani ninawaachia nyie na social media zenu
Tukubaliane, kutokubalia.
Kwa hiyo hapa tunalinganisha nini? Ubora wa mchezaji au umuhimu wa mchezaji? Sababu chenga zote pele anazopiga, messi anaweza pia kupiga. Kifupi kila kitu ambacho pele alikuwa akifanya Messi anaweza.

Kwa maelezo yako nilivyoelewa kwenye hii post ninayoQuote, ni kama unazungumzia mchezaaji muhimu. Ndio maana unahangaika kumtaja Mzee Pirlo na makele. Bada kama ndivyo, Messi ni bora na pia ni mchezaji muhimu kwenye timu.
 
Its like comparing God to Jesus! Its very confusing and conflicting. But the fact being there is only ONE GOD
 
We jamaa una matatizo kweli unajibiwa vizuri tena Kwa evidence unaleta mambo ambayo hayaeleweki kweny maelezo ya jamaa kitu Gani hujaelewa umeulza amefanya kitu Gani Pele ila Messi hajafanya unapewa majibu ya maswali Yako bado unagwaya wew sio mtu wa mpira achana na mpira kafundishe vitenzi wanafunzi wako
Nisaidie wewe unayejua soka. Ni jambo gani uwanjani pele alilifanya wakati akicheza ambalo Leonel Messi hawezi au ameshindwa kufanya anapokuwa uwanjani. Kama hilo jambo wote wanaliweza nani analifanya kwa ufanisi zaidi. Swali mbona rahisi sana!
 
Pele ilifika hatua raisi akamdeclare as national treasury, ndio maana hakuuzwa kwenda ulaya.. Alikuwa ni kama pembe za ndovu au meno ya simba.

Pele kacheza kipindi kigumu jamani, tafuteni video zake watu wanachapa kisawa sawa, hakuna redca

Messi ana goli la mkono, thierry Henry ana assist ya mkono
Wewe ukizuiliwa kwenda shule huko kijijini kwenu , unaweza kusema ndicho kigezo cha wewe kutokuwa na maendeleo na hivyo usipimwe na wale waliokwenda shule?

Namaanisha Pele apimwe kwenye world stage hizi habari za ohh alikuwa nyara haziwezi kubadili ukweli.
Ninachoweza kusema ni kwamba huenda alicheza zama za ushindani kidogo na hivyo fighting yake ilibaki ni ya kutoshindana na yeyote , hata wewe hapo bila ushindani wa karibu utambwelambwela na kuamini unachokifanya ni kikubwa zaidi kumbe ungekuwa na mpinzani wa karibu ungefanya zaidi ya hicho ulichofanya matokeo yake ukilinganishwa kwa takwimu na wenzako unaonekana ulikuwa bora zama zako zama zote unaonekana wa kawaida tu.
Ukitaka kuamini hili fikiria kama Ronaldo angefikisha mafanikio aliyonayo individually bila Messi kuwa karibu yake anamkimbiza.
Siku zote spidi yako huongezeka zaidi iwapo kuna kinachokukimbiza unataka kisikufikie.

Fikiria tu bila Ronaldo Messi angekuwa na Ballon Dior ngapi , huenda angekuwa nazo 15 au angekuwa nazo 2 tu
 
Seriously ?

Ngoja nikupe stats ambao wote wamecheza...

Pele alicheza world cup nne tu ( I repeat NNE) na katika hizo nne 1958 akiwa na miaka 17 aliingia na kufunga(record ambayo haijavunjwa na hapo mechi za mwanzo alikuwa bench- unajua tena kuwa rangi nyeusi wakati huo) kijana aliwasaidia Brazil kuchukua kombe na Goli lake fainali angainst Sweden la kwanza kati ya mawili ili-involve kumdash mchezaji wa kwanza (left for dead) wa pili kupigwa kanzu na kufunga bao...

1962 akacheza mechi mbili ya kwanza against Mexico akafunga bao la pili pamoja na kupigwa kiatu cha kutosha, mechi ya pili na wa-Czech akapigwa kiatu mpaka akashindwa kucheza mechi nyingine....

1966 waingereza na figisu zao alipigwa kiatu game ya kwanza cha kutosha against portugal wakammaliza kabisa hadi akasema ana-retire mpira kutokana na kwamba alikuwa target ya watu kumuondoa (kipindi hicho chote hakuna red/yellow cards)

1970 FIFA waka-introduce Yellow / Red Card Pele akarudi na kuchukua ndoo nyingine....

Messi kacheza world cup mechi nyingi zaidi katika world cup anazidiwa na mtu mmoja tu hapa duniani..., na katika hizo ingawa ameshiriki fainali mara mbili ameshinda moja...


Kwahio hapo unaweza kuona nani ni clinical na when push comes to shove who bottles it..., na katika hizo mechi alizocheza kuna ku-miss matuta

Ndio ikaja point yangu kuu kipindi hiki striker / anaweza kucheza mechi nyingi zaidi kipindi hiki ni rahisi kuliko kipindi cha kina Pele (Football imekuwa non contact sport) yaani mtu anapiga vyenga unamuangalia na kumpuliza puliza zamani yeye na mpira angejikuta kwenye chaki...
Kama ni rahisi kufunga kwa kupiga chenga tu wewe umeshindwa nini kumfunika Messi?

Hoja yako nzima imebaki kwenye ishu ya rafu tu hadi imekosa mvuto , unataka kutuambia huyo Pele ndo alikuwa anapigwa viatu wengine hawapigwi? Hivi leo unaweza kusema Ronaldinho alikuwa hapigwi viatu ndo maana alikuwa haumii mara kwa mara watu wakakuelewa?
Dembele alikuwa anaumia mara kwa mara hadi Barca wakasema wanafikiria kumwachia cos faida kwa timu hana unataka utuaminishe eti Dembele ni bora kuliko Ronaldo ndo maana alikuwa anaumizwa mara kwa mara?

Dembele kwa sasa ubora wake umerudi na majeruhi hakuna kwake unataka tuseme sasa hivi mabeki hawamchezei rafu?Kama Pele alikuwa anaumia mara kwa mara huenda kuna factor nyingine zilikuwa zinachGarinchaangia eg hakuwa mpiga chenga makini mbona hakuwa akiumizwa kama yeye wakati naye alikuwa hatari (Jibu linaweza kuwa Simple huenda Pele alikuwa na style ya kucheza ile ya Kibu D ) ya kujibamiza bila akili kwa wachezaji wenzake.Unapenda kula nini nayo yaweza kuwa sababu ya yeye kuwa rahisi kuumia maana vyakula navyo ni muhimu.

Dembele aliambiwa azingatie diet ambayo alikuwa haipendi ili aepuke majeraha rahisirahisi na akaambiwa na Messi kwamba kuna wakati wa kupiga chenga,wakati wa kudribble na wakati wa kutoa pasi si kila muda utake kudribble leo hii majeruhi yamemwepuka.

Hoja ya rafu haina mashiko hata kidogo
 
Seriously ?

Ngoja nikupe stats ambao wote wamecheza...

Pele alicheza world cup nne tu ( I repeat NNE) na katika hizo nne 1958 akiwa na miaka 17 aliingia na kufunga(record ambayo haijavunjwa na hapo mechi za mwanzo alikuwa bench- unajua tena kuwa rangi nyeusi wakati huo) kijana aliwasaidia Brazil kuchukua kombe na Goli lake fainali angainst Sweden la kwanza kati ya mawili ili-involve kumdash mchezaji wa kwanza (left for dead) wa pili kupigwa kanzu na kufunga bao...

1962 akacheza mechi mbili ya kwanza against Mexico akafunga bao la pili pamoja na kupigwa kiatu cha kutosha, mechi ya pili na wa-Czech akapigwa kiatu mpaka akashindwa kucheza mechi nyingine....

1966 waingereza na figisu zao alipigwa kiatu game ya kwanza cha kutosha against portugal wakammaliza kabisa hadi akasema ana-retire mpira kutokana na kwamba alikuwa target ya watu kumuondoa (kipindi hicho chote hakuna red/yellow cards)

1970 FIFA waka-introduce Yellow / Red Card Pele akarudi na kuchukua ndoo nyingine....

Messi kacheza world cup mechi nyingi zaidi katika world cup anazidiwa na mtu mmoja tu hapa duniani..., na katika hizo ingawa ameshiriki fainali mara mbili ameshinda moja...


Kwahio hapo unaweza kuona nani ni clinical na when push comes to shove who bottles it..., na katika hizo mechi alizocheza kuna ku-miss matuta

Ndio ikaja point yangu kuu kipindi hiki striker / anaweza kucheza mechi nyingi zaidi kipindi hiki ni rahisi kuliko kipindi cha kina Pele (Football imekuwa non contact sport) yaani mtu anapiga vyenga unamuangalia na kumpuliza puliza zamani yeye na mpira angejikuta kwenye chaki...
Vile vikosi ambavyo Pele alichezea kwenye kombe la dunia vilikuwa vimekamilika. Kwa hiyo hata kama Pele asingekuwemo vingetwaa ubingwa tu.

Chukilia mfano michuano ya meaka 1962, licha ya Pele kuumia katika mechi ya pili, lakini akina Garincha waliibeba timu mpaka ikafanikiwa kubeba ubingwa.

Halafu kitu kingine inabidi uelewe, Kubeba Worldcup ni team work. Sasa kama wewe kwenye kikosi ni bora sana ila kuna wenzio wanafungisha, hilo linakufanyaje usiwe bora?

Cha msingi angalia individual contributions katika kila gemu, usichukue mafanikio ya timu nzima na kumtwika mtu mmoja, au usitumie kuvurunda kwa timu ukamtwika mtu mmoja!.
 
Vile vikosi ambavyo Pele alichezea kwenye kombe la dunia vilikuwa vimekamilika. Kwa hiyo hata kama Pele asingekuwemo vingetwaa ubingwa tu.

Chukilia mfano michuano ya meaka 1962, licha ya Pele kuumia katika mechi ya pili, lakini akina Garincha waliibeba timu mpaka ikafanikiwa kubeba ubingwa.

Halafu kitu kingine inabidi uelewe, Kubeba Worldcup ni team work. Sasa kama wewe kwenye kikosi ni bora sana ila kuna wenzio wanafungisha, hilo linakufanyaje usiwe bora?

Cha msingi angalia individual contributions katika kila gemu, usichukue mafanikio ya timu nzima na kumtwika mtu mmoja, au usitumie kuvurunda kwa timu ukamtwika mtu mmoja!.
Fact
 
Tanzania tupo ranking ya chini sana kisoka hiyo ni pamoja na uelewa wa soka Duniani...
Pele sio wa kufananishwa na Messi
Messi watu wake ni wakina CR 7
Gaucho na Zidane
Elexander kiungo wa Italy na wakina Xavi au Iniesta...
 
Tanzania tupo ranking ya chini sana kisoka hiyo ni pamoja na uelewa wa soka Duniani...
Pele sio wa kufananishwa na Messi
Messi watu wake ni wakina CR 7
Gaucho na Zidane
Elexander kiungo wa Italy na wakina Xavi au Iniesta...

Wewe ni mwanampira kweli au ni shabiki tu?
 
Nisaidie wewe unayejua soka. Ni jambo gani uwanjani pele alilifanya wakati akicheza ambalo Leonel Messi hawezi au ameshindwa kufanya anapokuwa uwanjani. Kama hilo jambo wote wanaliweza nani analifanya kwa ufanisi zaidi. Swali mbona rahisi sana!
Pele wakati anacheza mpira alifikisha Goli 1000 Messi wakati anacheza mpira kashindwa kufikisha Goli 1000 ana jumla ya Goli kama 700hivyo kitu ambacho Pele ameweza kufanya uwanjani ni kwamba Kafunga jumla ya Goli 1000 wakati Messi amefikisha Goli 700 plus
 
Pele wakati anacheza mpira alifikisha Goli 1000 Messi wakati anacheza mpira kashindwa kufikisha Goli 1000 ana jumla ya Goli kama 700hivyo kitu ambacho Pele ameweza kufanya uwanjani ni kwamba Kafunga jumla ya Goli 1000 wakati Messi amefikisha Goli 700 plus
[emoji23]
Na Messi kachukua best world cup player of the tournament mara mbili ,Pele ana ngapi?
 
Back
Top Bottom